Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Wanaume nawashauri kujenga tabia ya kutumia asali kila siku aidha kwenye chai au hata kuinywa muda wowote unapojisikia. Inaimarisha uwezo wa tendo la ndoa. Mimi nimekuwa nikitumia asali kwa takribani miezi 6 sasa na kitu nilichogundua kuwa stamina yangu ya kumega tunda imeongezeka maradufu. Kiukweli niliamua tu kuachana na sukari ya viwandani lakini hiyo ndio hali halisi. Hata akina dada si vibaya mkiwashauri wenza wenu kutumia asali ina faida nyingi mojawapo ndio hiyo mtarimbo unasimama hat saa nzima. Nadhani wale watumiaji wa viagra huu utakuwa msaada kwao.