Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Hahahahha jamani na gym pia inasaidia sana tena sana wakuu,sio asali tu kama upo fit na muscles basi huna haja ya asali....me sijawahi kutumia asali zaidi ya ujuzi na mazoezi na naheshimika vibaya sana,sasa hiyo siku utaacha kutumia asali itakuwaje wakuu tuwe makini kwa kweli