FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
unasemaje?
niseme nini tena jamani wakati nishasema hizo ni hazard
unasemaje?
Inaitwaje hiyo dawa?
niseme nini tena jamani wakati nishasema hizo ni hazard
haya bana kila la heri, ukimpata wako usisahau kumwekea eeh!
Hiki kinaita kitu cha SHUNTAMA(kaa/tulia/fata amri) lakini ipo za aina mbalimbali kama GENDA GARUKA (nenda rudi)
Vipi naruhusiwa kuifanyia majaribio kabla sijainunua?
Kweli mganga hajigangi, ulishindwaje kuzitumia kwa charminglady akawa anakupa za uso afu kaja dogo C6 kajibebea mtoto kiulaiini kama analia vile
Tatizo la waganga ni kujisahau, wao wanafikiri matatizo yanawapata watu wengine ila si wao. Na ndiyo maana C6 kajizolea kiulaiiiiiini.
hahahaa, umeona eeh. lakini wns bado hajakubaliana na hali halisi. . . n-way endelea kusubiri ama jaribu tena badae wns!!!!
Tatizo la waganga ni kujisahau, wao wanafikiri matatizo yanawapata watu wengine ila si wao. Na ndiyo maana C6 kajizolea kiulaiiiiiini.
ha,ha,ha,.....unaweza kutest then ukategua,
Embu nifowadie moja niifanyie majaribio...kuna jimama moja nataka nilichune.
hii itakufaa
Mi sio mganga baha mi mwekezaji,nimewekeza katika pharmacy ya mapenzi we vip?
hii itakufaa
Dah, hongera basi kwa uwekezaji wako huo kwani hapa lazima utatajirika tu bila wasi maana ngono hapa kwetu ni kama chakula. Nitajiungaje kwenye huu uwekezaji, tafadhali saidia!
Ee bwana wacha hizo. Mbona Young Master kasema hii uliyompa inamfanya apige nyeto zaidi....kuna ukweli hapa? Au hizi ni dawa za kichina zinafanya yale yasiokusudiwa? Ee bwana tafadhali usije kutugeuza kuwa na mabusha ya tembo hapa, oooooooooohooo?