Safi sana kamanda kwa kujitanabaisha kuwa unaufaham juu ya mali asili. Naomba kufahamu ukweli juu ya uwepo wa madini ya mercury ya asili huko maeneo ya Arusha kama unafaham tafadhari nipe data kamili na wengine wafaham
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.