Wana jamvi nimeamua kuuza laptop yangu aina ya macbook apple version ya 10.5.8,processor yake ni 2Ghz na ram ni 2GB.Haina tatzo lolote ila naiuza kusolve personal issues.anahehtaj anipm au anitafte kwa Namba 0717465686 na 0717478451.Asanten
hawez kuweka bei na mimi namsupport asiweke mana wa2 wa humu ndan ni kulalamika tu akiweka bei mara utasikia wengine wanasema bora wakapangishe vyumba kwa mwaka mzima
hawez kuweka bei na mimi namsupport asiweke mana wa2 wa humu ndan ni kulalamika tu akiweka bei mara utasikia wengine wanasema bora wakapangishe vyumba kwa mwaka mzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.