dogo jiajiri mwenyewe mbona mnapenda sana mteremko
dah eti dogo!!, aya bwana.... Ndo nimemaliza 2nd year, nasoma bachelor of commerce in accounting.. Hope nimejieleza vya kutosha mkubwa
Tatizo vijana wengine wa field mnakuja maofisini na masuruali yanawaporomoka ndio maana sehemu nyingine wanaona wasichukue tu.
dah eti dogo!!, aya bwana.... Ndo nimemaliza 2nd year, nasoma bachelor of commerce in accounting.. Hope nimejieleza vya kutosha mkubwa
Tatizo vijana wengine wa field mnakuja maofisini na masuruali yanawaporomoka ndio maana sehemu nyingine wanaona wasichukue tu.
dogo jiajiri mwenyewe mbona mnapenda sana mteremko
kma waweza chukua izo barua zko tuma mikoan kwny makampun tofaut achana na dar es salaam...
Mkuu Maundumula huoni hata kiswahili alichoandika?? upuuzi mtupu!!
Mkuu Maundumula huoni hata kiswahili alichoandika?? upuuzi mtupu!!
Jaribu kupiga simu hii 0788457650 umuulizie Chief Accountant
nataman sana ku2ma mikoani ila ndugu zangu weng wapo vijijin, so nitakosa pakukaa, mbaya zaidi bodi ya mikopo hainitambui kwa lolote, ndo mana napenda nifanye apa apa dar
Tatizo lenu mnataka mkiwa field mlipwe ......na wengi wenu mnataka Dar tu....na kama likizo inaisha basi malizia likizo urudi chuo