Madaktar naomba mnisaidie.jana nilijichoma na bisibisi katikati ya kiganja cha mkono wangu.mkono ulikufa gannzi kwa muda na baadae maumivu makali yakafuata.nilipata huduma ya kwanza na kuendelea na kazi.leo nimeamka kiganja kimekuwa cheusi kwa juu na mko nahisi kama mzito kidogo.jana damu haikutoka nying.je ni dawa gani naweza kutumia kama antbiotics?