Jaman ma-lecturer IFM mna matatizo gani?

Maengo

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
280
29
Pamoja na uduni wake(IFM) katika suala la management, kuna suala moja linanikera zaidi! Na hili ni kuhusu ma-lecturer wa hapa IFM,yaan wamekuwa mabingwa wa ngono! Wanawarubuni dada zetu kwa madai ya kuwasaidia kielimu au saa nyingine kwa vitisho vya kuwafelisha! Na mtu anayeongoza kwa madhambi haya ni mkuu wa idara ya Social Protection! Kwa kweli jaman dada zetu wanateseka na hii tabia mbovu na chafu!
 
Ndugu Maengo swala la kuomba ngono ili umsaidie mwanafunzi marks ni rushwa. sasa sidhani kama hapa jamii forum unaweza ukawa umesaidia kuondoa tatizo. Kama huyo mkuu wa idara ya social protection anafanya hivyo unapaswa uthibitishe hilo swala kwenye vyombo husika. Nadhani IFM kuna mkuu wa chuo (unaweza ukampa taarifa kuwa kuna lecturer fulani anafanya hivyo). Pia kuna TAKUKURU unaweza kuwapa taarifa wakafuatilia nyendo zake na kumnasa. Ila kuna tatizo la dada zetu nao wanapenda mambo ya mteremko.kwahiyo TAKUKURU wanapaswa kuchunguza wote maana hata mtoa rushwa anakosa kama mla rushwa. Sheria itachukua mkondo wake kama huyo lecturer ndio anataka rushwa ila pia sheria itachukua mkondo wake kama mwanafunzi ndio anataka kutoa rushwa. ALL THE BEST.
 
Pamoja na uduni wake(IFM) katika suala la management, kuna suala moja linanikera zaidi! Na hili ni kuhusu ma-lecturer wa hapa IFM,yaan wamekuwa mabingwa wa ngono! Wanawarubuni dada zetu kwa madai ya kuwasaidia kielimu au saa nyingine kwa vitisho vya kuwafelisha! Na mtu anayeongoza kwa madhambi haya ni mkuu wa idara ya Social Protection! Kwa kweli jaman dada zetu wanateseka na hii tabia mbovu na chafu!
Wewe soma dogo acha majungu wenzio wanasoma wanafaulu. Kama wadad wanapenda tatizo lako nini au ulitaka iweje kama siyo hao wadada?
 
hawa wanawake ndio maana wakipata nafasi za juu mfano labda aje kuwa waziri au spika jazba kwenda mbele kwakuwa wanajua walivyofika hapo walipo.

Elimu ya tanzania ni pasua kichwa maana wakati mwingine kumlaumu dada ni kama kumwonea coz akikataa na kumreport lecturer kunapohusika na hatua zikachukuliwa (lecturer amefungwa jela/amefukuzwa) basi hao malecturer wenzake waliobaki wataungana na watakupata tu utake usitake.

wanaume tunashida sana kwa wapenzi wetu maana ukianza kufikiria possibilities za huko chuo duuuuu...
 
Wewe soma dogo acha majungu wenzio wanasoma wanafaulu. Kama wadad wanapenda tatizo lako nini au ulitaka iweje kama siyo hao wadada?
mkuu wewe ndo unaleta majungu yeye anaumia madada kulazimishwa ngono wewe unaponda au wewe ndo mkuu wa SP nini..
 
Sidhani kama wanalazimishwa ngono. Unajua kuna wanafunzi wengi wapuuzi sana, hawataki kusoma alafu wanataka wafaulu tu. Unakuta mtu anaenda dinner masaa kibao akirudi analala, sasa huyo atafaulu vipi?Dawa ya kumkomesha lecturer anayetaka ngono ni kusoma tu, maana akikufelisha una appeal na utapita, maana hata husika yeye kusahisha huo mtihani tena. pia wala hawezi kujua kuwa ume appeal. kwahiyo dawa ni kutokutoa ngono na kusoma ujue mavitu hapo maisha yatakuwa mazuri kwako. Ila mleta mada na yeye hajaiweka vizuri, kwanza ameanza sentensi na dharau, sas sijui yeye ni nani. huwezi kusema pamoja na uduni wake, uduni gani?inabidi afafanue. pia haiwezi kuwa ni lecturers wote labda baadhi, kwahiyo inabidi aweke mada vizuri sio kulipualipua tu.
mkuu wewe ndo unaleta majungu yeye anaumia madada kulazimishwa ngono wewe unaponda au wewe ndo mkuu wa SP nini..
 
Sidhani kama wanalazimishwa ngono. Unajua kuna wanafunzi wengi wapuuzi sana, hawataki kusoma alafu wanataka wafaulu tu. Unakuta mtu anaenda dinner masaa kibao akirudi analala, sasa huyo atafaulu vipi?Dawa ya kumkomesha lecturer anayetaka ngono ni kusoma tu, maana akikufelisha una appeal na utapita, maana hata husika yeye kusahisha huo mtihani tena. pia wala hawezi kujua kuwa ume appeal. kwahiyo dawa ni kutokutoa ngono na kusoma ujue mavitu hapo maisha yatakuwa mazuri kwako. Ila mleta mada na yeye hajaiweka vizuri, kwanza ameanza sentensi na dharau, sas sijui yeye ni nani. huwezi kusema pamoja na uduni wake, uduni gani?inabidi afafanue. pia haiwezi kuwa ni lecturers wote labda baadhi, kwahiyo inabidi aweke mada vizuri sio kulipualipua tu.
Sawa mkuu, ni kwamba management ina mapungufu kibao lakin hayaniumi sana kama hili suala la hawa jamaa! Ndio kuna wale wanafunzi wanojirahisisha lakin pia kuna wale walio siriaz na masomo lakini kutokana na jinsi walivyojaaliwa na Mwenyezi Mungu hawa jamaa wanataka nao wawaonje! Sasa watawapataje? Ndo maana wanatumia mbinu ya kuwafelisha! Mkuu kutokana na ulivyoandika nadhan umepitia ngazi ya chuo, kwa hyo nina uhakika haya mambo unayajua jinsi yanavyotokea!
 
Sidhani kama wanalazimishwa ngono. Unajua kuna wanafunzi wengi wapuuzi sana, hawataki kusoma alafu wanataka wafaulu tu. Unakuta mtu anaenda dinner masaa kibao akirudi analala, sasa huyo atafaulu vipi?Dawa ya kumkomesha lecturer anayetaka ngono ni kusoma tu, maana akikufelisha una appeal na utapita, maana hata husika yeye kusahisha huo mtihani tena. pia wala hawezi kujua kuwa ume appeal. kwahiyo dawa ni kutokutoa ngono na kusoma ujue mavitu hapo maisha yatakuwa mazuri kwako. Ila mleta mada na yeye hajaiweka vizuri, kwanza ameanza sentensi na dharau, sas sijui yeye ni nani. huwezi kusema pamoja na uduni wake, uduni gani?inabidi afafanue. pia haiwezi kuwa ni lecturers wote labda baadhi, kwahiyo inabidi aweke mada vizuri sio kulipualipua tu.

78% inaelekea wewe umesoma nje au chuo cha boys
 
mmmh! Wadada kazi tunayo! Anyways, cha msingi hapo ni kuwa serious! Sema NO kwa maksi chupi! Kamua, piga msuli wa ukweli alaf shusha vitu,tuone nani atakufelisha!
 
Pamoja na uduni wake(IFM) katika suala la management, kuna suala moja linanikera zaidi! Na hili ni kuhusu ma-lecturer wa hapa IFM,yaan wamekuwa mabingwa wa ngono! Wanawarubuni dada zetu kwa madai ya kuwasaidia kielimu au saa nyingine kwa vitisho vya kuwafelisha! Na mtu anayeongoza kwa madhambi haya ni mkuu wa idara ya Social Protection! Kwa kweli jaman dada zetu wanateseka na hii tabia mbovu na chafu!
Du! yaani jamaa hawezi kwenda kusaka machangu ili dada zetu wasalimike? au mdomo wake mzito?
 
Hao madada wenyewe wanakesha club! hawana muda wa kusoma na wanategemea wafaulu unategemea kitatokea nini akifeli? kama siyo kujipendekeza, au kumtega mwl, na ili msimuone changu basi anajifanya lecturer anamtaka kumbe yeye mwenyewe ndiye anatafuta njia ya kufaulu. Kinachotakiwa pia wasome waache starehe (kwani starehe zina muda wake!)
 
Pamoja na uduni wake(IFM) katika suala la management, kuna suala moja linanikera zaidi! Na hili ni kuhusu ma-lecturer wa hapa IFM,yaan wamekuwa mabingwa wa ngono! Wanawarubuni dada zetu kwa madai ya kuwasaidia kielimu au saa nyingine kwa vitisho vya kuwafelisha! Na mtu anayeongoza kwa madhambi haya ni mkuu wa idara ya Social Protection! Kwa kweli jaman dada zetu wanateseka na hii tabia mbovu na chafu!




Acheni kabisa hayo maneno! kwani nyie mmekua wa kwnza kusoma???
Waambie hao mabint wasome kwa bidii wafaulu mitihani na si eti wanafelishwa!
Kama wanataka marks za bure matokeo yake ni ngono zembe.
 
Back
Top Bottom