Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Naingia kwa furaha, ukumbini nakaribia.
Nimechungulia kwa karaha, nikiwa nje nilikaribia.
Sikuweza kula raha, nilipotaka kukoment sikuruhusiwa.
Lakini leo naingia, chochote naweza kuandika!
Kuna matatizo yalitokea, ofisini kwetu kuzozana.
Mwenzetu alifumaniwa, akifungua jamvi la JF.
Makamba alitupa, bila huruma kumwachisha ajira.
Iliniuma sana, ila leo nimeamua kuingia mwenyewe!
Nafurahia kitu kimoja, busara na hekima za JF.
Watu wenye uwezo wa kufikiri, na kujadili hoja mbalimbali.
Ukiwa na hasira utacheka, hasa ukiingia jukwaa na Jokes,
JF ni msaada hata kwa watafuta ajira!
Chamwisho wapendwa, naombeni mnipokee.
Nimo ndani ya nyumba, mengi nitayaeleza.
Vigogo wote wa serikali, hapa ndio kwao.
Nashukru kwa maana, wote wanaafahamu.
Mnipokeeeeeeeee Logoooooooooooooooooo naingiaaaaaaaaaaaaa.
Nimechungulia kwa karaha, nikiwa nje nilikaribia.
Sikuweza kula raha, nilipotaka kukoment sikuruhusiwa.
Lakini leo naingia, chochote naweza kuandika!
Kuna matatizo yalitokea, ofisini kwetu kuzozana.
Mwenzetu alifumaniwa, akifungua jamvi la JF.
Makamba alitupa, bila huruma kumwachisha ajira.
Iliniuma sana, ila leo nimeamua kuingia mwenyewe!
Nafurahia kitu kimoja, busara na hekima za JF.
Watu wenye uwezo wa kufikiri, na kujadili hoja mbalimbali.
Ukiwa na hasira utacheka, hasa ukiingia jukwaa na Jokes,
JF ni msaada hata kwa watafuta ajira!
Chamwisho wapendwa, naombeni mnipokee.
Nimo ndani ya nyumba, mengi nitayaeleza.
Vigogo wote wa serikali, hapa ndio kwao.
Nashukru kwa maana, wote wanaafahamu.
Mnipokeeeeeeeee Logoooooooooooooooooo naingiaaaaaaaaaaaaa.