Jaman, jaman, jaman jf mambo??

Logo

JF-Expert Member
Jan 26, 2011
588
48
Naingia kwa furaha, ukumbini nakaribia.
Nimechungulia kwa karaha, nikiwa nje nilikaribia.
Sikuweza kula raha, nilipotaka kukoment sikuruhusiwa.
Lakini leo naingia, chochote naweza kuandika!

Kuna matatizo yalitokea, ofisini kwetu kuzozana.
Mwenzetu alifumaniwa, akifungua jamvi la JF.
Makamba alitupa, bila huruma kumwachisha ajira.
Iliniuma sana, ila leo nimeamua kuingia mwenyewe!

Nafurahia kitu kimoja, busara na hekima za JF.
Watu wenye uwezo wa kufikiri, na kujadili hoja mbalimbali.
Ukiwa na hasira utacheka, hasa ukiingia jukwaa na Jokes,
JF ni msaada hata kwa watafuta ajira!

Chamwisho wapendwa, naombeni mnipokee.
Nimo ndani ya nyumba, mengi nitayaeleza.
Vigogo wote wa serikali, hapa ndio kwao.
Nashukru kwa maana, wote wanaafahamu.
Mnipokeeeeeeeee Logoooooooooooooooooo naingiaaaaaaaaaaaaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Habari gani logo, utokako hawajambo?
karibu kwa vigogo, walo njiani piga kumbo.
Umeingia kwa mikogo, JF kuna mambo,
Jamani logo karibu, jamvini tujimwage.

Ulikuwa mla chabo, chondechonde ni hatari,
Karaha kwenye tobo, kwa raha jivinjari,
Masaki hata mabibo, Jamii Forum inasitiri,
Logo nakutakia heri, umjue mode invisibo.

Nakukaribisha jamvini, majukwaa tembelea,
Maria Roza yu majonzini, El-toro hajamgea,
Lile kufuli la chumbani, Pakajimmy kalichomelea,
Invisibo lete funguo, Logo atinge chumbani.
 
Naingia kwa furaha, ukumbini nakaribia.
Nimechungulia kwa karaha, nikiwa nje nilikaribia.
Sikuweza kula raha, nilipotaka kukoment sikuruhusiwa.
Lakini leo naingia, chochote naweza kuandika!

Kuna matatizo yalitokea, ofisini kwetu kuzozana.
Mwenzetu alifumaniwa, akifungua jamvi la JF.
Makamba alitupa, bila huruma kumwachisha ajira.
Iliniuma sana, ila leo nimeamua kuingia mwenyewe!

Nafurahia kitu kimoja, busara na hekima za JF.
Watu wenye uwezo wa kufikiri, na kujadili hoja mbalimbali.
Ukiwa na hasira utacheka, hasa ukiingia jukwaa na Jokes,
JF ni msaada hata kwa watafuta ajira!

Chamwisho wapendwa, naombeni mnipokee.
Nimo ndani ya nyumba, mengi nitayaeleza.
Vigogo wote wa serikali, hapa ndio kwao.
Nashukru kwa maana, wote wanaafahamu.
Mnipokeeeeeeeee Logoooooooooooooooooo naingiaaaaaaaaaaaaa.
Mbona Logo unakuja kiujanja ujanja,KIMTINDO WA UGANI UGANI. Karibuni hapa JF, lakini usiwe na jazba hapa utajifunza mengi na kufaidi mengi pia!!!!!!!!! KARIBU!!!
 
Habari gani logo, utokako hawajambo?
karibu kwa vigogo, walo njiani piga kumbo.
Umeingia kwa mikogo, JF kuna mambo,
Jamani logo karibu, jamvini tujimwage.

Ulikuwa mla chabo, chondechonde ni hatari,
Karaha kwenye tobo, kwa raha jivinjari,
Masaki hata mabibo, Jamii Forum inasitiri,
Logo nakutakia heri, umjue mode invisibo.

Nakukaribisha jamvini, majukwaa tembelea,
Maria Roza yu majonzini, El-toro hajamgea,
Lile kufuli la chumbani, Pakajimmy kalichomelea,
Invisibo lete funguo, Logo atinge chumbani.

Asante sana, kwa kusasambua,
Mwenyewe nimefurahu sana, nashukru kwa ukaribisho wewe ubarikiwe
 
Naingia kwa furaha, ukumbini nakaribia.
Nimechungulia kwa karaha, nikiwa nje nilikaribia.
Sikuweza kula raha, nilipotaka kukoment sikuruhusiwa.
Lakini leo naingia, chochote naweza kuandika!

Kuna matatizo yalitokea, ofisini kwetu kuzozana.
Mwenzetu alifumaniwa, akifungua jamvi la JF.
Makamba alitupa, bila huruma kumwachisha ajira.
Iliniuma sana, ila leo nimeamua kuingia mwenyewe!

Nafurahia kitu kimoja, busara na hekima za JF.
Watu wenye uwezo wa kufikiri, na kujadili hoja mbalimbali.
Ukiwa na hasira utacheka, hasa ukiingia jukwaa na Jokes,
JF ni msaada hata kwa watafuta ajira!

Chamwisho wapendwa, naombeni mnipokee.
Nimo ndani ya nyumba, mengi nitayaeleza.
Vigogo wote wa serikali, hapa ndio kwao.
Nashukru kwa maana, wote wanaafahamu.
Mnipokeeeeeeeee Logoooooooooooooooooo naingiaaaaaaaaaaaaa.
Naingia kwa furaha, ukumbini nakaribia.
Nimechungulia kwa karaha, nikiwa nje nilikaribia.
Sikuweza kula raha, nilipotaka kukoment sikuruhusiwa.
Lakini leo naingia, chochote naweza kuandika!

Kuna matatizo yalitokea, ofisini kwetu kuzozana.
Mwenzetu alifumaniwa, akifungua jamvi la JF.
Makamba alitupa, bila huruma kumwachisha ajira.
Iliniuma sana, ila leo nimeamua kuingia mwenyewe!

Nafurahia kitu kimoja, busara na hekima za JF.
Watu wenye uwezo wa kufikiri, na kujadili hoja mbalimbali.
Ukiwa na hasira utacheka, hasa ukiingia jukwaa na Jokes,
JF ni msaada hata kwa watafuta ajira!

Chamwisho wapendwa, naombeni mnipokee.
Nimo ndani ya nyumba, mengi nitayaeleza.
Vigogo wote wa serikali, hapa ndio kwao.
Nashukru kwa maana, wote wanaafahamu.
Mnipokeeeeeeeee Logoooooooooooooooooo naingiaaaaaaaaaaaaa.
Mbona Logo unakuja kiujanja ujanja,KIMTINDO WA UGHANI UGHANI. Karibuni hapa JF, lakini usiwe na jazba hapa utajifunza mengi na kufaidi mengi pia!!!!!!!!! KARIBU!!!
 
Mbona Logo unakuja kiujanja ujanja,KIMTINDO WA UGANI UGANI. Karibuni hapa JF, lakini usiwe na jazba hapa utajifunza mengi na kufaidi mengi pia!!!!!!!!! KARIBU!!!

Mbona Logo unakuja kiujanja ujanja,KIMTINDO WA UGHANI UGHANI. Karibuni hapa JF, lakini usiwe na jazba hapa utajifunza mengi na kufaidi mengi pia!!!!!!!!! KARIBU!!!

mukwano = ?Mtumishi Wetu
 
Mbona Logo unakuja kiujanja ujanja,KIMTINDO WA UGANI UGANI. Karibuni hapa JF, lakini usiwe na jazba hapa utajifunza mengi na kufaidi mengi pia!!!!!!!!! KARIBU!!!

Ujanja sio janga, kama unaujanja
Usije vuta ganja, ukadai ni mjanja.
Utakuwa mjinga, kama alivyo gamba,
Amejivua ujinga, upumbavu ameusajiri!
 
mukwano = ?Mtumishi Wetu

Siri imefichuka, Mkwano=mtumishi wetu.
Kafungua mbili, zimsaidie ujanja!
Nampa pole, kwani ajari kaikwaa.
Itabidi asitishe moja, wiki chache tusahau.
 
Polepole ndio mwendo, logo punguza munkari,
Usijasingiziwa vya magendo, hali hukuwa wa shari,
Jamvini paki hasira kando, kuna watu wapenda mi-zari.
Mwisho enjoy JF, home of great thinkers!
 
Polepole ndio mwendo, logo punguza munkari,
Usijasingiziwa vya magendo, hali hukuwa wa shari,
Jamvini paki hasira kando, kuna watu wapenda mi-zari.
Mwisho enjoy JF, home of great thinkers!
Ta- ta-ta-ta-ta- beat hii baba!
 
jf home of great thinker, logo hapa ndiyo umefika,
majungu no ukweli uhakika,
welcome logo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom