Jamaa nimegundua jinsi ya kutabiri kifo..!!!

DEVINE

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
536
86
Jamani hii sio masihara,nimekutana na mbibi mmoja jana jioni wakati natoka miangaikoni,baada ya kumsalimia tukaanza stori kwani wote tulikuwa tunaelekea njia moja. Katikati ya stori akaniauliza kama najua jinsi ya kutabiri kifo.Sio siri niliogopa nikamjibu hapana,sasa baada ya kumjibu tu akaanza lecture. Akaniambia mtu ufa siku chache kabla ya tarehe ya kuzaliwa au baada ya tarehe ya kuzaliwa au inawezekana ni mwezi tofauti ila ni tarehe chache kutoka tarehe ya kuzaliwa au baada,tena anaweza kufa siku chache tangu ajitabirie kifo yaani mtu kesha sema yeye ni wakufa tu yaani ameshakata tamaa ya kuishi.Kama ni msanii ni siku au miezi michache eidha kaimba au kaandika au kaigiza au kachora kifo chake...Dah sikutaka nijue zaidi nilimkatisha yule bibi,lakini akasisitiza labda tu awe amejiua au ameuawa,aisee ilitokea nimebadili njia ilimradi nisiendelee kusikia maneno ya yule bibi...Jamani mie hata sitaki kuamini,ivi yanaukweli maneno hayo ya bibi? Nawasilisha.
 
Yana ukweli ndiyo!
Mbona wala sio big issue ? Hata kama wewe unataka nikutajie siku yako ntumie tr. yako ya kuzaliwa, nikufahamishe now! now !
 
Ngoja nicheki hadidu za rejea hapa nikijiridhisha ntakuja kuunga mkono.
1. Tx Moshi
2. Dr Remy Ongara
3. JK Nyerere
4. ....
5. ....
Naendelea kupekua ili kulinganisha maelezo.
 
Some truth kwa mbaaaali sana.
Hapo kwenye kuongelea kifo kifo, nadhani Israel huwa nakuwa anamzungukia zungukia.
 
Hivi Yule muasisi wakundi la East coast bado yupo hai?? Maana aliwah kuachia kibao cha NITAKUFAJE..., Na wale dazinundazi nao waliima ule wimbo wa KAMANDA ulikuwa na mahadhi ya kifo sa sijui bado wako hai.
 
Ngoja nicheki hadidu za rejea hapa nikijiridhisha ntakuja kuunga mkono.
1. Tx Moshi
2. Dr Remy Ongara
3. JK Nyerere
4. ....
5. ....
Naendelea kupekua ili kulinganisha maelezo.
fanya fanya basi niujue ukweli
 
Hivi Yule muasisi wakundi la East coast bado yupo hai?? Maana aliwah kuachia kibao cha NITAKUFAJE..., Na wale dazinundazi nao waliima ule wimbo wa KAMANDA ulikuwa na mahadhi ya kifo sa sijui bado wako hai.
mnh kam ni crayz Gk kafaka kimziki,na hao daznunda pia vilevile
 
mnh kam ni crayz Gk kafaka kimziki,na hao daznunda pia vilevile

Kumbe kimziki, maana mtoa mada kasema msanii akijitabiria kifo basi anaweza kufa baada ya muda mfup toka kuandika, au kucheza filam au wimbo
 
Ngoja nicheki hadidu za rejea hapa nikijiridhisha ntakuja kuunga mkono.
1. Tx Moshi
2. Dr Remy Ongara
3. JK Nyerere
4. ....
5. ....
Naendelea kupekua ili kulinganisha maelezo.

kwenye rejea zako usimuweke NYERERE, kwani huyu akufa natural death bali kauliwa na Mkapa.
 
Kumbe kimziki, maana mtoa mada kasema msanii akijitabiria kifo basi anaweza kufa baada ya muda mfup toka kuandika, au kucheza filam au wimbo
ni kweli kabisa kwa mujibu wa bibi,ila kwa mtazamo wangu wamekufa kimziki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom