Jakaya Kikwete: Rais muungwana anayelipa ubaya kwa wema...

Nawaza sana hivi km wakati ule Mwandosya angeachwa kwenye Baraza la Mawaziri leo hii ingekuwaje? Kdg nitoe machozi siku ile Mwandosya anaapishwa na kubakishwa kwenye Baraza. Ingekuwa Raisi mwingine pengine angempuzisha ili aendelee na tiba. Raisi Kikwete aliona tiba ya Mwandosya ni kumbakisha barazani. Ni ubinadamu wa hali ya juu kwa kweli!
Kwa hiyo kama angempumzisha angefanya unyama.........hahaha!Mawazo yako hayo tuishie hapo.
 
ni lini na wspi kikwete aliwapeleka wakina nguza Viking segerea ...wabongo mnaweza kukomalia uzushi mpk ukawa ukweli

Mkuu kama wewe ni mgeni na Tanzania uwe unauliza nini kipo hapa Tz kinanchoendelea. usikurupuke
 
kama baba unaweza kudelegate powers zako kwa mtoto au mama depend na uzito wa jambo!!there4 c lazima awe jaji bt indirect..... hope u will fill yourself.
Najua utasema mimi ni zao la.shule za kata KIUKWELI KABISA sijakuelewa
 
Wakuu,

Zinaweza kuwa ni sifa zinazopelekea haiba nzuri ama mbaya lakini ukweli ni kwamba Rais Kikwete ni miongoni mwa watu wanaoonekana kuwa na roho fulani ya upole, huruma na ubinadamu.Ni mtu ambaye huwa hawezi kununa asiye na jazba na asiye panic hata kama akikubwa na changamoto kubwa kiasi gani. Ni mtu anayeweza kuthibiti hasira na kuwa mtulivu anapofanya maamuzi au kuzungumza na watu.Kadhalika ni mtu anayependa kujishusha kiasi kwamba laiti lisingekuwa ni suala la itifaki, mtu angeweza asifahamu kama yeye ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini.Sifa hizi zaweza kuwa ni mbaya au nzuri kulingana na mtazamo wa mtu, hata hivyo uzuri au ubaya wa sifa hizi si mjadala wa msingi kwa hapa.

Ni ukweli Uliowazi, kwamba kiongozi mwingine mwenye Tabia na haiba kama hizo hapo juu, ni Mh. Bernard Membe. Kwa maana hiyo basi, wale wanaofikiri kwamba sifa hizo hapo juu ni njema na pengine kwao ni sababu inayowafanya wamuunge mkono Rais Kikwete, kwa vyovyote vile Watakuwa wanampenda Mzee membe vile vile na itakapowapasa kumuunga mkono, basi watafanya hivyo, na wale watakaokuwa wanamchukia kikwete kwa tabia zake tajwa hapo juu, bila shaka watakuwa wanamchukia Membe vile vile.

Hata hivyo kuna hoja kuwa, Tanzania kwa sasa haihitaji rais mpole mwenye roho ya huruma kama Kikwete, bali rais Mkali anayeweza kucheza show za Kibabe kila panapostahili. Bila shaka wale wenye mtizamo huo watakuwa wanawakubali watu kama akina maalim Dr. Magufuli na anko. Sitta. Si mnakumbuka alivyoliendesha bunge la katiba! tehe! tehe! tehe!

 
  • Thanks
Reactions: DSN
Inaonekana Umepotea Njia.Hizo Ni Sifa Za Mtu Dhaifu Anayependa Mzaha.Matokeo Yake.....Epa Richmond Dowans Escrow...
 
Inaonekana Umepotea Njia.Hizo Ni Sifa Za Mtu Dhaifu Anayependa Mzaha.Matokeo Yake.....Epa Richmond Dowans Escrow...

Sasa hapa unachonilaumu mimi ni nini? any way natumai wewe utakuwa unamuunga mkono Mzee sitta, maana aliuimara wake bunge maalum la katiba kwa kuwa na roho ngumu, au!
 
Hapa hakuna chochote! Sitta hayuko tena katika siasa za TZ! Huyu jamaa aondoke kabisa! Kuhusu Mh Magufuri kama anaweza kutueleza kuwa akiwa rais hatabadirika basi bado ni good candidate. Lkn mimi ninaona the best of all ni Mh Slaa! Pls mimi si mwana CDM
 
Wakuu,

Zinaweza kuwa ni sifa zinazopelekea haiba nzuri ama mbaya lakini ukweli ni kwamba Rais Kikwete ni miongoni mwa watu wanaoonekana kuwa na roho fulani ya upole, huruma na ubinadamu.Ni mtu ambaye huwa hawezi kununa asiye na jazba na asiye panic hata kama akikubwa na changamoto kubwa kiasi gani. Ni mtu anayeweza kuthibiti hasira na kuwa mtulivu anapofanya maamuzi au kuzungumza na watu.Kadhalika ni mtu anayependa kujishusha kiasi kwamba laiti lisingekuwa ni suala la itifaki, mtu angeweza asifahamu kama yeye ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini.Sifa hizi zaweza kuwa ni mbaya au nzuri kulingana na mtazamo wa mtu, hata hivyo uzuri au ubaya wa sifa hizi si mjadala wa msingi kwa hapa.

Ni ukweli Uliowazi, kwamba kiongozi mwingine mwenye Tabia na haiba kama hizo hapo juu, ni Mh. Bernard Membe. Kwa maana hiyo basi, wale wanaofikiri kwamba sifa hizo hapo juu ni njema na pengine kwao ni sababu inayowafanya wamuunge mkono Rais Kikwete, kwa vyovyote vile Watakuwa wanampenda Mzee membe vile vile na itakapowapasa kumuunga mkono, basi watafanya hivyo, na wale watakaokuwa wanamchukia kikwete kwa tabia zake tajwa hapo juu, bila shaka watakuwa wanamchukia Membe vile vile.

Hata hivyo kuna hoja kuwa, Tanzania kwa sasa haihitaji rais mpole mwenye roho ya huruma kama Kikwete, bali rais Mkali anayeweza kucheza show za Kibabe kila panapostahili. Bila shaka wale wenye mtizamo huo watakuwa wanawakubali watu kama akina maalim Dr. Magufuli na anko. Sitta. Si mnakumbuka alivyoliendesha bunge la katiba! tehe! tehe! tehe!


Mimi hata posti yako sijasoma narespond kwenye kichwa tu.
Ni kwamba tinahitaji uwajibikaji, haiba itatusaidia nini? Hata nyani angeweza kuchapa kazi tunayotaka its ok.
 
Kama mijitu inaiba mchana peupe, dhaifu anashindwa kuchukua hatua, kisa tu familia yake imehusika, kisha wanaume tunaridhika tu. Sasa kuna tofauti gani na wanaoolewa?
 
Back
Top Bottom