Katika Tanzania huru naweza kusema kuwa serikali ya kikwete ndio iliyokumbana na misukosuko panda teremka nyingi na hata kuyumbisha uhai wake kwa wingi kuliko marais wote walotangulia.
Amekumbana na upinzani mkali wa ndani ya chama chake, ndani ya serikali na zaidi kutoka kwa wapinzani wake hasa CHADEMA huku bara na CUF kule Zanzibar.
Lakini ameendelea kula na kucheka nao kana kwamba hakuna kilichotokea... Wapo walosema hawamtambui kama ni rais halali, wengine wakasema wanamnyang'anya uenyekiti wa chama wengine wakasema wamemchoka tu kwa kuwa hajafanya lolote tangu aingie madarakani lakini ameendelea kucheka nao...
Kweli ukubwa ni jalala na daima usilipe ubaya kwa ubaya...
Amekumbana na upinzani mkali wa ndani ya chama chake, ndani ya serikali na zaidi kutoka kwa wapinzani wake hasa CHADEMA huku bara na CUF kule Zanzibar.
Lakini ameendelea kula na kucheka nao kana kwamba hakuna kilichotokea... Wapo walosema hawamtambui kama ni rais halali, wengine wakasema wanamnyang'anya uenyekiti wa chama wengine wakasema wamemchoka tu kwa kuwa hajafanya lolote tangu aingie madarakani lakini ameendelea kucheka nao...
Kweli ukubwa ni jalala na daima usilipe ubaya kwa ubaya...