Kutoka Sea View Hotel pale Lindi hadi pale kwake Mtanda Lindi! Unaweza kutembea hata kwa mguu tu! Sasa huo msafara na msururu wa magari ya nini??bro nmeongelea kikwete akiwa kwenye safari nje ya mkoa anaokaa.
na hata hapo kawe unaposema unaonaga akiwa kwenye gari tatu tu huenda ikawa ni macho yako lakini kiuhalisia katika kila mataa au makutano huwa kuna gari iko hapo mda mrefu kabla ya yeye kupita
ukisoma nilichokiandika kwa kutulia utanielewaKutoka Sea View Hotel pale Lindi hadi pale kwake Mtanda Lindi! Unaweza kutembea hata kwa mguu tu! Sasa huo msafara na msururu wa magari ya nini??
Hata kama akiwa safari! Huwezi kua na ule msafara! Labda kama kuna mambo mengine nje ya tujuayo! Mkapa kaja sana Lupaso kwao na hakua na huo msafara! Mwinyi kila siku anaenda kwenye mashamba yake huko mkuranga hana huo msafaraukisoma nilichokiandika kwa kutulia utanielewa
Kwa upumbavu huu ,nchi hii ina safari ndefu ya kujikomboa maana naona middle class karibu wengi wameoza kichwani, President Mandela baada ya kustaafu msafara wake haukuzidi 3 cars (including police sweep car)na hata wakati wanampeleka hospital, Ambulance yake ilipata breakdown na ilichukua muda msaada kumfikia,President H&H misafara yake haizidi 4 cars!,President CR misafara yake haizidi 4 cars, President wa Botswana msafara wake 3 cars!!,Tanzania tumekosea wapi?ndo mnavyodanganywa hivyo mtaani?
hivi unajua kuwa rais aliyopo madarakani au msataafu akipata tatizo lolote awapo safarini nje ya mkoa anaoishi lazima RPC wa mkoa husika awe responsible?
na je RPC huyo anatakiwa kuwa na gari ngapi za ku escort msafara wa raisi?
na je RPC anaweza kuusindikiza na kuusubiria msafara wa rais alafu RTO awe kalala tu na mkewe nyumbani?
Hopital ya mkoa watajibu nini endapo raisi atapata ugonjwa wa ghafla na kukosa huduma kwa kutokutoa ambulance?
nmekufungua macho kidogo tu but ukiona anatumia gari 10 jua hana mambo mengi la sivyo kwa uchache ni gari 15+ zinahitajika kuwepo kwenye msafara
Usisahau pia ni kaka mtu eeh? Ametoka kwa wakwe zake huko Lindi.Toka mwaka mpya umeanza nipo kusini mikoa ya Lindi na Mtwara napambana na maisha yangu yakujiandaa na uzee wangu, maana kula na tafuna kabisa mfupa ukiwa bado na meno mdomoni, hapa maana yangu nikufanya kazi kwa nguvu zote nakujiandaa kwa ajiri ya uzee...
ndo mnavyodanganywa hivyo mtaani?
hivi unajua kuwa rais aliyopo madarakani au msataafu akipata tatizo lolote awapo safarini nje ya mkoa anaoishi lazima RPC wa mkoa husika awe responsible...
Akiamua kununua yakafikia kumi sheriya ina mzuiya?Rais mstaafu hua ana gari tatu tu! Moja ya kwake, Moja spare na moja walinzi!
Hata wakati wa mpendwa wetu Magufuli alikuwa akimuwakilisha kwenye mikutano nje ya nchiHuyo ndiyo de facto president wa Tanzania. Huyo mwingine yupo yupo tu.
Weka vitu baba watu wanasumbuliwa na chukindo mnavyodanganywa hivyo mtaani?
hivi unajua kuwa rais aliyopo madarakani au msataafu akipata tatizo lolote awapo safarini nje ya mkoa anaoishi lazima RPC wa mkoa husika awe responsible...
Bado wanalindwa.. mwache tu.Toka mwaka mpya umeanza nipo kusini mikoa ya Lindi na Mtwara napambana na maisha yangu yakujiandaa na uzee wangu, maana kula na tafuna kabisa mfupa ukiwa bado na meno mdomoni, hapa maana yangu nikufanya kazi kwa nguvu zote nakujiandaa kwa ajiri ya uzee...
Hata huyo Magufuli kama angemaliza muda wake vizuli serikali ingezidi kumtumia katika baadhi ya mambo rais msitafu tofaoti na mkuu wa mkoa msitafuEbu ngoja kwanza, kwani hii nchi tuna Marais wangapi?
Ungeongezea kwamba hiyo ni protokali kabisa.Rais mstaafu hua ana gari tatu tu! Moja ya kwake, Moja spare na moja walinzi!
Akiwa mjini hata mwinyi utumia magali 3 na pikipiki kubwa ya polisi inayo tangulia swali je akiamua kununua yakafikia 10 sheriya inamkataza?Mwaka 2018 wakati Hayati Magu alikuwepo madarakan, Kikwete alikuja kwenye gradu pale UD akiwa na gari 3 tu.