Wakuu habari za Leo,
Inatia huruma, sijui tumsaidie vipi huyu mzee wetu wakuu, hebu tujadiliane namna ya kumsaidia
Chanzo: RAIA mwema
Wakuu habari za Leo,
Inatia huruma, sijui tumsaidie vipi huyu mzee wetu wakuu, hebu tujadiliane namna ya kumsaidia
Chanzo: RAIA mwema
Hahahahahaaa mkuu hilo ni jina tu, kama vile ibilisi, fisadi, jambazi, nyosso, roho mbaya, kiwavi, pombe magufuli na wengine, hahahahaa, isitoshe mimi ni mlipa kodi mzuri sana hahahahahaaaa mkuu umenivunja mbavu hahahahahaaIrrespective of how good or valid contributions that you might have brought to JF, nimesikitishwa sana kujiibandika jina la MKWEPA KODI. hivi hiyo ni sifa njema au ni arogance au ni kitu gani? You might be honest kulingana na jina lako, kwamba wewe ni mkwepa kodi na huoni haya kujitambulisha kwa mtu yeyote. With due respect kama humu ndani kuna wanausalama na TRA, hakika wapaswa kulipa kodi na faini zake pamoja na riba ya pesa ulizokwepa.
Niwie radhi maana kwakweli sijakwazwa na jina lako...bali ni muhimu members wote kuwa sensible and responsible, tusiwe wavivu kufikiri au kuchukua hatua.
Mbombo jilipo
Ataenda wapi sasa
Mkuu signature yako imetulia sana. Big up
ya waliyoijenga.