Mbona kasema kitu cha kweli na wazi. Mkitaka tuibadilike badilisheni Katiba na sheria. Marefa mbalimbali mchezo uleule.
kiravu amestaafu, sasa mbona wamemchagua lubuva ambaye naye anatakiwa awe alishastaafu au atastaafu soon?:shock:
Mbona sisi makazini kwetu mfanyakazi mpya wa shirika au kampuni anaambiwa mwanzo tu kabisa kwamba anatarajiwa afanye mapya ili kuboresha utendaji na ufanisi wa kampuni au shirika lake? chini ya katiba hii hii?
Mwenyekiti wa NEC nae anatarajiwa kufanya mapya kuboresha hali ilivyo na kama hawezi basi hafai. Watu wa design hii wanaofanya kazi kwa mazoea wanatuchosha kweli kweli.
Nafikiri Lubuva yuko right kabisa. There is nothing he can do. Na heri amekuwa mkweli mapema kabisa kuepuka lawana. Kutokana mfumo mzima uliopo hana jipya na hataweza kuwa na jipya. Haweze kusema ana jipya wakati hana. Huo ndio ukweli. Amesema ukweli hata kama unauma.
Mbona sisi makazini kwetu mfanyakazi mpya wa shirika au kampuni anaambiwa mwanzo tu kabisa kwamba anatarajiwa afanye mapya ili kuboresha utendaji na ufanisi wa kampuni au shirika lake? chini ya katiba hii hii?
Mwenyekiti wa NEC nae anatarajiwa kufanya mapya kuboresha hali ilivyo na kama hawezi basi hafai. Watu wa design hii wanaofanya kazi kwa mazoea wanatuchosha kweli kweli.
Mbona kasema kitu cha kweli na wazi. Mkitaka tuibadilike badilisheni Katiba na sheria. Marefa mbalimbali mchezo uleule.
Bro mbona hapa unatuuliza sisi tena???si wewe ndo umetuambia hayo maneno???sisi ni wageni kabisa!!!Jamani Rais anafikiria kweli kabla hajateua hao wanagawiwa madaraka wapate kuendelea kula baada ya kufanya unyama wa ufisadi kwa muda mrefu? huyu Hamid Mahmoud Hamid alikuwa Jaji Mkuu wa Mahkama ya Zanzibar tangu miaka ya themanini, wanawe wamepata kupewa vibali vya kuwa Wanasheria wakubwa bila kuwa na elimu hiyo hata kidogo, na kuishia kushinda kesi kwa mikwara na misaada ya baba lao Jaji Mkuu na kuburuza haki za wengi Zanzibar nzima kwani wao waliangalia pesa tu na si haki.
Jamani hili Hamid Mahmoud ni fisadi au siyo?
Mbona kasema kitu cha kweli na wazi. Mkitaka tuibadilike badilisheni Katiba na sheria. Marefa mbalimbali mchezo uleule.
Nyani wapya msitu uleule!