Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Punde kidogo nlikuwa nasikilizaJahazi... Kayanda anabishana na Kibonde kushusu udhaifu wa watz unasababishwa na kutojua kiingerea au lugha kubwa... Mwenzake anashikilia muhimu ni uwezo na si kujua lugha!!!
mY TaKE: kwa mujibu wa 'ligi yao'..Kayanda has bored me stiff...astahili kuendesha vipindi vya show tym na ma-toz wenzake!!!
mY TaKE: kwa mujibu wa 'ligi yao'..Kayanda has bored me stiff...astahili kuendesha vipindi vya show tym na ma-toz wenzake!!!