Jackson Mbando tueleze - TIGO uliondoka kwa hiari au kutimliwa?

Kwa upande wangu nachukia sana watu hasa vijana ambao wanakuwa kwenye nafasi nzuri kazini halafu wanaondoka kwa 24hrs notice... hii profesionally inaonyesha kuwa bado hujakomaa.. hata kama Airtel walikuwa wanamuhitaji au wamepanda dau kubwa namna gani angewaambia wampe mwezi mmoja ila iweze kukabidhi ofisi.. yaani mimi naona bado dogo anautoto...
ni kweli mkuu jiweke kwenye nafasi ya mwajiri ndo utaona inavyokerra
 
24 Hrs sio nzuri kwa kweli... As professional lazima umpe muda mwajiri wako kutafuta mtu wa kuchukua nafasi, isitoshe mambo yakiharibika waweza kurudi maana uliondoka kwa ustaarab. Contract nayo inamata katika hili... Mbando sio poa kusepa kwa 24 mzee!!!
 
sio kila wakati uangalie maslahi kuna wakt mazingira ya kazi yanakuwa mabaya hata kama wanakulipa vizuri..hivyo sio sahihi kusema kila anayehama sehemu moja kwenda nyingine kafuata maslahi..jaribu kusoma ndani ya mistari sio nje..


Hivi maslahi ni hela tu? duh nilikuwa sijui...mie nilidhani maslahi ni pamoja na usalama wako na vyote ulivyovitaja hahahaha pole mimi
 
Tunao uwezo mkubwa sana wa kujadili watu, tungekuwa tunachambua na kujadili maslahi ya taifa kwa staili hii hakika tungefika mbali.
 
"Great minds discuss ideas. Average minds discuss events. Small minds discuss people" , mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe...
Wakuu

Huyu Afisa uhusiano wa zameni Jackson Mbando nimeona Tangazo kwenye gazeti la leo la Mwananchi, vipi pale Tigo jamaa alifukuzwa kwa kashfa gani na sasa kajiribu Airtel????
attachment.php


Jackson Mmbando (pichani kushoto akigawa misaada siku yake ya kwanza kazini Jumatatu hii) kwa kupata nafasi ya kupiga mzigo Airtel Tanzania kama bosi wa Mahusiano wa kampuni hiyo ya simu za mikononi.
 
Simfahamu huyu kijana wala sijuhi kama accusations ni za kweli; ila nimeshasikia makampuni mengi yanalalamika kuwa vijana wa sasa si waaminifu kabisa. Hii tabia itatufanya tusiwe na soko pale east afrika itakaporuhusu free movement ya labor. Makampuni mengi sana na mabenki yanalizwa kishenzi ila nasikia hawapendi kuweka public kwa kuwa ina effect kwa kampuni hasa wateja wakijua pesa zao si salalma especially banks.
 
ni move nzuri as 'there is no life without movement' lakini inaua credibility ya mtu pale unapoondoka sehemu bila kuacha mahusiano mazuri wakati nawe ni 'afisa uhusiano'!
Kumbuka (wakubwa zake kiumri na kicheo) Mchechu alivyoondoka bank kwenda National Housing watu wa CBA walimfanyia party ya kumuaga. tuache uswahili
hapana haijaiba, kutokana na nafasi alokua nayo tigo ilimfanya afahamike sana, sasa ni hatua ya kawaida sana kwa tigo kuwaarifu watu kuwa si mfanyakazi tena wa tigo
 
"Great minds discuss ideas. Average minds discuss events. Small minds discuss people" , mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe...
It is from people where you can learn how to survive in this world than from ideas...

We kaa pembeni wakati wenzio wanacheki namna ya kuruka kwenye hili treni la JK linalotaka kutumbukia mtoni. Subiri ideas zikufuate nyumbani...

Dogo ni celebrity lazima ajadiliwe ili watu wajifunze positively na negatively toka kwake, labda kama umefunga mlango wa kujifunza.
 
Ki ukweli jamaa (JM) kaharibu! Ina maana hata huko alikohamia watakuwa hawamuamini, kwani anaweza akasepa wakati wowote. Watakuwa naye kimachale machale!
 
Kwa upande wangu nachukia sana watu hasa vijana ambao wanakuwa kwenye nafasi nzuri kazini halafu wanaondoka kwa 24hrs notice... hii profesionally inaonyesha kuwa bado hujakomaa.. hata kama Airtel walikuwa wanamuhitaji au wamepanda dau kubwa namna gani angewaambia wampe mwezi mmoja ila iweze kukabidhi ofisi.. yaani mimi naona bado dogo anautoto...


Very true..wengi wanakua wamepiga
 
safi sana!!! Mimi nilishawahi kufanyiwa vitimbi kazini (mahali fulani) eti wao private institution kila kitu wanajipangia bila utaratibu, alot of harrassment, nikawashtukia nikaondoka 24 hrs. wakashikwa bumbuazi wasijue la kufanya na post yenyewe mpaka kupata replacement ilikuwa kazi. Mii naona jamaa kaula Airtell donge nono sasa Tigo wanajisharabua tuu
 
ni kweli maisha haya tunaangalia maslahi ni katika kujiongezea kipato
Ame hamia Airtel, we bado unasubiri nini? hamia Airtel mkuuu..... Pia acha kuwa na dhana potofu kuwa mtu akiacha kazi ofisi flani na kwenda nyingine kaiba au kafukuzwa kazi sivyo kabisa mkuu..... Maisha haya tuna angalia maslahi zaidi!
 
Back
Top Bottom