NEW NOEL JF-Expert Member May 21, 2011 863 407 Sep 11, 2011 #1 Pata picha inakuwaje POPOTE TZ: MKUU ANAPOSIKILIZA WIMBO WA ''RIZ-ONE'' WA IZZO BUSINESS
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 204 Sep 11, 2011 #2 Kihisia (kimoyomoyo) anaongea hivi "duuh! ila kweli aisee ngoja tu nimalize mda wangu niwaachie linchi lao"
Kihisia (kimoyomoyo) anaongea hivi "duuh! ila kweli aisee ngoja tu nimalize mda wangu niwaachie linchi lao"
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Sep 11, 2011 #3 nasikiliza kila wimbo wa bongo fleva unaotoka mpya-JK
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Sep 11, 2011 #4 Bahati nzuri hapati muda wa kusikiliza Bongofleva, labda taarabu. So nashauri huo wimbo uimbwe ktk mahadhi ya Taarabu.
Bahati nzuri hapati muda wa kusikiliza Bongofleva, labda taarabu. So nashauri huo wimbo uimbwe ktk mahadhi ya Taarabu.
S Snow Man New Member Jul 14, 2011 4 0 Sep 12, 2011 #5 Itakuwa inampain mbaya nadhani huwa anaswitch of......??