Motowntzjpm
Senior Member
- Jun 16, 2023
- 118
- 191
Hili swala la DEE PEEE Weldi na Jamhuri limeleta fursa ya tafakuri jadidifu.
Iweje kila mkataba tunayoingia na makampuni makubwa haya, yote yana kipengele kinachosema kukiwa na mgogoro mahakama yatakayotumika ni ya kimataifa na sio ya Tanzania.
Tunakumbuka mhe Rais Mwenye alinukuliwa kusema mikataba mingi tuliyoingia ni ya ovyo na yamesababisha tupoteze fedha nyingi kulipa gharama za fidia.
Maoni yangu: Kesi iliyofunguliwa Mbeya ni fursa kwa mahakama yetu kuthibitishia watanzania kwamba yana utashi wa kuleta heshima kwa taasisi hii nyeti.
Mhe Rais wa Awamu ya tano alichangia pakubwa kufifisha heshima ya mahakama lakini ukweli ni kwamba mahakama yetu hayaja jenga heshima ya kuwa kitovu cha haki. Sharti hukumu ionyeshe hivyo.
Iweje kila mkataba tunayoingia na makampuni makubwa haya, yote yana kipengele kinachosema kukiwa na mgogoro mahakama yatakayotumika ni ya kimataifa na sio ya Tanzania.
Tunakumbuka mhe Rais Mwenye alinukuliwa kusema mikataba mingi tuliyoingia ni ya ovyo na yamesababisha tupoteze fedha nyingi kulipa gharama za fidia.
Maoni yangu: Kesi iliyofunguliwa Mbeya ni fursa kwa mahakama yetu kuthibitishia watanzania kwamba yana utashi wa kuleta heshima kwa taasisi hii nyeti.
Mhe Rais wa Awamu ya tano alichangia pakubwa kufifisha heshima ya mahakama lakini ukweli ni kwamba mahakama yetu hayaja jenga heshima ya kuwa kitovu cha haki. Sharti hukumu ionyeshe hivyo.