Ivi pro ndulu wa bot huoni kama uliwapotosha watanzania

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,110
18,328
GAVANA wa Benki kuu ya Tanzania (BoT)Prof Benno Ndulu, amewahi kuzungumzia ubora wa noti mpya zilizotolewa mwaka jana .

Katika mkutano wake na waandishi wa habari leo, Gavana Ndulu alisema noti mpya zina ubora na viwango vya kimataifa.

Akifuatana na wataalamu wake wa ndani na mmoja kutoka kampuni iliyotengeneza noti hizo, Gavana Ndulu aliwahakikishia Watanzania kwamba hawatapata hasara na wala uchumi hautaathiriwa na noti mpya zilizotolewa


Mtaalamu huyo kutoka kampuni ya Crane Currency ya Sweden, Peter Brown, alitoa mifano ya noti mbalimbali ikiwamo Dola za Marekani zilivyo na ubora unaofanana na noti mpya za Tanzania katika ubora.


Hivi hizi note mpya ambazo huyu msomi alikuwa anazitetea na kusema zina ubora kama dolla za US na zina ubora wa kimataifa, haoni kama aliwapotosha na kuwadanganya wa tz watanzania.






 
Huyu Prof Ndullu si ndiyo anasema inflation ni 20% wakati katika real sense ipo kwenye 40%- 55%. Naanza kupata wasiwasi juu ya umahiri wake kiuongozi bila kujali uwezo wake ki- akademia
 
Tatizo watanzania tukisikia mtu fulani ni Professor au Dr. basi tunajiridhisha bila shaka yeyote kuwa huyo mtu ni bora sana!!!
Ki ukweli wingi wa madarasa kichwani si sababu ya mtu kuwa na maamuzi mazuri!!
 
wakuu ni sahihi kabisa kwa anacho ongelea mtoa maada,

ILA NAOMBA TUJE KWENYE UPANDE WA PILI WA SHILINGI, TUNAKUWA TUNACOMPLEIN SANA KUHUSU NOT PYA

- Je utunzaji wa Not zetu unaeleweka? je ni kwa nin fedha zote za nje ukizikunja kunja ukienda kuzibadilisha hawazikubali?

- Tumekuwa tunatunza fedha vibaya sana, mtu anakunja Noti kam sigara theni anaiweka mfukoni unategemea nini?

- Cheki wakinamama sokoni, wanakunjakunja na kufunga na kanga.

- Huwezi kunjakunja Dolla ya marekani wa pound ya Uingereza halafu utegemee ipokelewe dukani.

MIMI NAZANI NA SISI TUJIFUNZE KUTUNZA FEDHA ZETU KWA USTARABU THENI NDO TULALAMIKE
 
wakuu ni sahihi kabisa kwa anacho ongelea mtoa maada,

ILA NAOMBA TUJE KWENYE UPANDE WA PILI WA SHILINGI, TUNAKUWA TUNACOMPLEIN SANA KUHUSU NOT PYA

- Je utunzaji wa Not zetu unaeleweka? je ni kwa nin fedha zote za nje ukizikunja kunja ukienda kuzibadilisha hawazikubali?

- Tumekuwa tunatunza fedha vibaya sana, mtu anakunja Noti kam sigara theni anaiweka mfukoni unategemea nini?

- Cheki wakinamama sokoni, wanakunjakunja na kufunga na kanga.

- Huwezi kunjakunja Dolla ya marekani wa pound ya Uingereza halafu utegemee ipokelewe dukani.

MIMI NAZANI NA SISI TUJIFUNZE KUTUNZA FEDHA ZETU KWA USTARABU THENI NDO TULALAMIKE


Nakubaliana sana na maoni yako kuhusu utunzaji wa noti, na pamoja na mifano kuhusu mama ntilie na wengineo ambao wanakuwa na haraka ya kuharibu noti zetu kwa kuzihifadhi haraka haraka kuliko kuzitunza kwa kuziweka taratibu, lakini inawezekana suala la usalama ambayo tayari inakuwa mada nyingine, au inaweza kuchelewa kuhudumia wateja, lakini pamoja na sababu zote nzuri kuhusu utunzaji ile sababu ya Prof.Ndullu kuwa ubora wa noti unapimwa kwa kuchuja rangi bado haiingii akilini. Nawakilisha
 
wakuu ni sahihi kabisa kwa anacho ongelea mtoa maada,

ILA NAOMBA TUJE KWENYE UPANDE WA PILI WA SHILINGI, TUNAKUWA TUNACOMPLEIN SANA KUHUSU NOT PYA

- Je utunzaji wa Not zetu unaeleweka? je ni kwa nin fedha zote za nje ukizikunja kunja ukienda kuzibadilisha hawazikubali?

- Tumekuwa tunatunza fedha vibaya sana, mtu anakunja Noti kam sigara theni anaiweka mfukoni unategemea nini?

- Cheki wakinamama sokoni, wanakunjakunja na kufunga na kanga.

- Huwezi kunjakunja Dolla ya marekani wa pound ya Uingereza halafu utegemee ipokelewe dukani.

MIMI NAZANI NA SISI TUJIFUNZE KUTUNZA FEDHA ZETU KWA USTARABU THENI NDO TULALAMIKE

Ni sawa mkuu ,utunzaji ni kitu muhimu sana lakini kwa kesi hii hoja yako haina mashiko sana , unajua kwanini.
Ukishika fedha ya Mkapa unajisikia umeshika kitu, lakini pesa ya JK na Ndulu naona kama nadanganywa. Mie binafsi napenda nipewe ile pesa ya Mkapa ni nzuri, ngumu, ina rangi nzuri, haichakai haraka, unakaa vizuri kwenye wallet etc.
 
Hivi ule mpango wa kuondoa noti za zamani kwene mzunguko uliishia wapi?
 
Bado tunaendelea kutumia Noti za aina mbili hadi 2015? niadhani ni nchi pekee inayotumia mfumo huu...
 
wakuu ni sahihi kabisa kwa anacho ongelea mtoa maada,

ILA NAOMBA TUJE KWENYE UPANDE WA PILI WA SHILINGI, TUNAKUWA TUNACOMPLEIN SANA KUHUSU NOT PYA

- Je utunzaji wa Not zetu unaeleweka? je ni kwa nin fedha zote za nje ukizikunja kunja ukienda kuzibadilisha hawazikubali?

- Tumekuwa tunatunza fedha vibaya sana, mtu anakunja Noti kam sigara theni anaiweka mfukoni unategemea nini?

- Cheki wakinamama sokoni, wanakunjakunja na kufunga na kanga.

- Huwezi kunjakunja Dolla ya marekani wa pound ya Uingereza halafu utegemee ipokelewe dukani.

MIMI NAZANI NA SISI TUJIFUNZE KUTUNZA FEDHA ZETU KWA USTARABU THENI NDO TULALAMIKE

mtoa mada umezingua kuhusu utunzaji wa noti.
Pamoja na kuwa tunatunza noti vibaya, vipi kuhusu hizi za mwaka 2002? Ina maana watanzanzania wamebadilika ghafla na kuanza kuhifadhi noti kama ilivyo sasa hivi?
Ukweli ni kuwa vinoti vya sasa havina ubora, suala la utunzaji ni shida kutokana na mazingira ya ufanyaji kazi. Imagine mtu kama Saddam Makuku wa Ilala Bungoni, kuku akaange yeye, wateja ahudumie yeye, na bado fedha apokee na kuzitunza vizuri? Si kila mpokea hela anakuwa amekaa mu-desk na droo lenye partition za hela.
Ndulu ft. BoT sucks big time mazee...
 
Ndullu sio mataalam wa mambo ya fedha, yeye ni mtaalam wa mambo ya usafirishaji na ndio maana alipoteuliwa ilibidi aombe aje na Dr. Massawe ambae alikuwa IMF ili aje amsaidie [ yeye alikuwa upande wa utafiti World Bank] In a nutshell mtu anaeiendesha BOT ni Massawe na Ndullu ni boya tu!!!
 
Back
Top Bottom