Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,110
- 18,328
GAVANA wa Benki kuu ya Tanzania (BoT)Prof Benno Ndulu, amewahi kuzungumzia ubora wa noti mpya zilizotolewa mwaka jana .
Katika mkutano wake na waandishi wa habari leo, Gavana Ndulu alisema noti mpya zina ubora na viwango vya kimataifa.
Akifuatana na wataalamu wake wa ndani na mmoja kutoka kampuni iliyotengeneza noti hizo, Gavana Ndulu aliwahakikishia Watanzania kwamba hawatapata hasara na wala uchumi hautaathiriwa na noti mpya zilizotolewa
Mtaalamu huyo kutoka kampuni ya Crane Currency ya Sweden, Peter Brown, alitoa mifano ya noti mbalimbali ikiwamo Dola za Marekani zilivyo na ubora unaofanana na noti mpya za Tanzania katika ubora.
Hivi hizi note mpya ambazo huyu msomi alikuwa anazitetea na kusema zina ubora kama dolla za US na zina ubora wa kimataifa, haoni kama aliwapotosha na kuwadanganya wa tz watanzania.
Katika mkutano wake na waandishi wa habari leo, Gavana Ndulu alisema noti mpya zina ubora na viwango vya kimataifa.
Akifuatana na wataalamu wake wa ndani na mmoja kutoka kampuni iliyotengeneza noti hizo, Gavana Ndulu aliwahakikishia Watanzania kwamba hawatapata hasara na wala uchumi hautaathiriwa na noti mpya zilizotolewa
Mtaalamu huyo kutoka kampuni ya Crane Currency ya Sweden, Peter Brown, alitoa mifano ya noti mbalimbali ikiwamo Dola za Marekani zilivyo na ubora unaofanana na noti mpya za Tanzania katika ubora.
Hivi hizi note mpya ambazo huyu msomi alikuwa anazitetea na kusema zina ubora kama dolla za US na zina ubora wa kimataifa, haoni kama aliwapotosha na kuwadanganya wa tz watanzania.