NOT FOUND
Senior Member
- Mar 14, 2011
- 158
- 59
Angalia taarifa ya habari zote tangu kampeni zianze Arumeru.
Wakionesha habari za CCM kamera zinakuwa zimetulizwa na zinaonesha eneo kubwa ili ionekane idadi ya watu, na pia picha zinaoneshwa kwa utulivu na muda wa kutosha.
Njoo habari ya CHADEMA sasa, jamaa wanaonesha picha iliyopigwa kwa karibu kuonesha watu wachache na kisehemu hicho kitarudiwa hata mara nne. Na iwapo wataonesha picha ya mbali, basi itapitishwa kwa spidi hadi inaonekana kabisa kuna kitu wanazuia.
Hivi ni kweli mpaka 2015 chadema itakuwa haina TV? au basi atokee kada wa CHADEMA mwenye mshiko kama kina ndesa wafungue tv binafsi zitakazotoa habari kwa haki na usawa, kama jinsi ambavyo makada wa CCM wana tv mfano Clouds TV, Star TV na ITV yenyewe.
Wakionesha habari za CCM kamera zinakuwa zimetulizwa na zinaonesha eneo kubwa ili ionekane idadi ya watu, na pia picha zinaoneshwa kwa utulivu na muda wa kutosha.
Njoo habari ya CHADEMA sasa, jamaa wanaonesha picha iliyopigwa kwa karibu kuonesha watu wachache na kisehemu hicho kitarudiwa hata mara nne. Na iwapo wataonesha picha ya mbali, basi itapitishwa kwa spidi hadi inaonekana kabisa kuna kitu wanazuia.
Hivi ni kweli mpaka 2015 chadema itakuwa haina TV? au basi atokee kada wa CHADEMA mwenye mshiko kama kina ndesa wafungue tv binafsi zitakazotoa habari kwa haki na usawa, kama jinsi ambavyo makada wa CCM wana tv mfano Clouds TV, Star TV na ITV yenyewe.