Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,279
- 8,494
Nimekuwa mtzamaji mzuri sana wa vituo hivi vi2 vya TV, nimeshawishiwika kuwashirikisha wana JF kwa pamoja tuweze kuangalia mapungufu na mazuri ya vituo hivi ili kuweza kuwashauri waendelee kutuletea habari zilizokamilika.
ITV.
ITV.
- Taarifa yao ya habari inaboa, haitoi picha halisi ya matukio na hasa kwa upande wa taarifa za kimataifa huwa wanatoa vichwa vya habari pekee.
- Wamekuwa ni wabaguzi wakionyesha kutowajali watazamaji wa vipindi vyao km hali ilivyo hivi sasa kwa mashabiki wa simba kunyimwa habari zinazoihusu timu yao.
- Reporters huwa hawawezi kupiga stand up wakiwa sehemu ya tukio kitu ambacho ni muhimu sana ili kujenga imani kwa watazamaji kuwa anayeripoti alikuwepo sehemu ya tukio.
- Taaluma ya uandishi inaelekea kuwa mbali sana na waandishi wa kituo hiki.
- Taarifa yao ya habari kidogo inavutia kwani huwa wanajaribu kuingia kwa undani zaidi na hata habari za kimataifa kuna mtu anaitwa Samadu Hasani huwa anaripoti vizuri sana.
- Pamoja na kuhusika na tukio la kuzuiwa kupiga picha na kurusha mechi za ligi ya Voda laivu, wameendelea kurusha habari za Simba bila kinyongo.
- Bado pia kuna udhaifu wa reporters kupiga stend up kwenye matuikio
- Taaluma inaonekana lakini sio sana.