Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
Kweli kabisa yalikuwa maigizo kama ya wale wachungaji wanaoongea pale Jangwani, cha kunifanya nikubali kuwa ni maigizo ni pale waongeaji wanapobadili sauti na kuzifanya za kiuchungaji. Kweli kondoo waliopotea ni wengi. Usanii mtupu.
Upi ni uzishi mzigo.....Maisha bora kwa kila Mtanzania/Vua gamba/Vua uzalendo(jana)....? Nadhani ingekuwa heri kama unekuja na majibu ya kwanini migomo kila kukicha, toka kwa mtoto hadi mzazi....Nasikia mkulu(pale magogoni) nae amegoma ati anataka apewe fursa za kutalii sayari ya Utaridi? Mwenezi,tema sera acha propaganda za maji taka....Bado kijana mdogo,hivi niamini nikupe nchi....? Nitakuwa mwendawazimu...Nyinyiem ni chama cha vichaa....Watanzania hawahitaji kusikia toka kwenu siasa chafu,mmekuepo miaka nenda rudi mlitakiwa muwe mumekomaa....Hoja na majibu mfu....Toeni majawabu ya matatizo yanayowakabili Watanzania na si ITV kasema nini, halafu mwenezi anajitutumua kushadadia upuuzi...We balaa kweli....Na hapo ndipo unapotuangusha vijana,wengi wanashindwa amini kama tunaweza ingawa sie wachache bado tumejipambanua kuwa tunaweza,tuendelee aminiwa kupewa majukumu makubwa.........Nape,Nape Nape.....tulia,utapotea hadi ujishangae...Siasa za majitaka hazikunufaishi wewe ndugu yangu kwani bado u kijana.....Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
Yaani mkuu, huyu bwana hata huwa namshangaa. Anayoyasema na umri wake hayaendani kabisaaaaaaaaaa. Mwalimu wangu mmoja alipendelea kuwaita watu wa aina hii "Old Teenagers"Hoja zako ni za kishabiki tu. Hazijazingatia hali halisi. Kiukweli CCM ni janga la kitaifa.
yaani utaumia kwelikweli mwaka huu...hivi jahazi modern taarab hawajatangaza nafasi za waimbaji mipasho?yaani kule ndo kunakufaa...ndo maana ulifukuzwa kwenye kampeni Igunga maana mdomo wako unashindwa ku connect na kilichoko kwenye ubongoWameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki