ITV ni CHADEMA damu!

Leo Mzee wa gongo alikuwa na kauli mbiu ipi maana nilimpa ushauri sa sina hakika mrejesho wake ulikuwa vipi?

hana jipya, analaumu umeme na hana sulihisho kuwa atafanyaje kuboresha akiwa kiongozi! Ni msanii tu, mzee wa matukio!
 
Mengi mwenyewe hajapewa dakika 7 acha unafiki,msikimbie vivuli vyenu hyo ndio hali halisi nyomi ya kufa mtu.
 
Umekuwa mpole kama changudoa aliye rushwa ujira wake.....

Pole lakini...Huna la kufanya...Chamsingi we kakojoe ulale bhaaasss!!

nenda ukapate gongo ukalale mjinga wewe. Jimama zima na wajukuu linatumika kama mtumba...laana
 
Mwambieni Muhongo ampigie magoti Mengi vinginevyo mtakuwa hamuishi kulalamika kuhusu habari za CDM na itv kila siku Kenge maji nyie
 
TeamKilimanjaro.............
Kwamtu kama mm nlieko dstv nna local channel mbil tu Startv na tbc hzo zantosha kabsa kulko hiyo ambayo siku mmilik wake akienda salimia wakwe zako kina Ntuyabaliwe anapewa airtime ya dakka saba...poor Mengi
 
Yaani, clip ya Slaa imeonyeshwa kwa zaidi ya dakika 7, na picha zime editiwa na mtangazaji devota Minja,zikionyesha watu wanashangilia lakini si kwa hotuba ile!

.
Chadema wakianzisha TV yao kama TBC ilivyojivika vazi la sisiem, nina uhakika kuna watu wengi tu watakufa kwa pressure kabla ya siku zao. Kuepuka vifo vya namna hii inabidi watu wajiandae tu kisaikolojia kuachia hatamu za kuongoza nchi sambamba na kukubaliana na ukweli wa kile kinachoendelea kuelekea mageuzi rasmi.
.
 
Yaani, clip ya Slaa imeonyeshwa kwa zaidi ya dakika 7, na picha zime editiwa na mtangazaji devota Minja,zikionyesha watu wanashangilia lakini si kwa hotuba ile!

sasa ndo thread gani hii? Inatufundisha au kutufikirisha nini?
Au umeianzisha ili nawe uonekanene kuwa una computer?
Jifunze kuleta vitu vyenye tija humu na sio huo ujinga wako na wa wengine wenye kufanana nawe!
Na waonekana kuwa mgeni na computer au ndo wale mnaochukua posho lumumba. Tafuta cha kufanya dogo kwani lumumba will not last long! Ni suala la wakati tu, yaani 2015 sio mbali!
 
Back
Top Bottom