Ana matatizo huyo aliyetoa hii list! Unawezaje kumweka hapo Usein Bolt kisha ukawaacha Nyerere na Dr. Ben Carson?
Aliyetoa list anazungumzia watu weusi. Sababu za kutaja watu weusi anazijua yeye.Ana matatizo huyo aliyetoa hii list! Unawezaje kumweka hapo Usein Bolt kisha ukawaacha Nyerere na Dr. Ben Carson?
Kinachoongelewa hapa ni waafrika. Obama. Martin Luther Jr siyo waafrika.
Aliye quote hiyo list kajichanganya.