ITV Mmemdhalilisha binti aliyetolewa mimba kwa kumuonesha live kwenye taarifa ya habari.

THE GEEK

Member
Dec 10, 2010
90
32
Nimeshangaa kuona mnamuonesha msichana aliyetolewa mimba bila kujali kuwa jambo hili litamletea shida katika maisha yake. nijuavyo habari kama hii huwa mnapaswa kutomu- expose mhusika kwenye public. msichana elizabeth afungue mashitaka kwa jambo hili.
 
nimecheki ile hbr sikuielewa vyema, msichana mwenyewe anataka haki ifuatwe, sasa sijui alilazimishwa kutoa mimba?
 
Binafsi pia nimesikitka sn kwa kitendo hiki..ht mjomba wa binti nae kakubali video na kuoneshwa kwa hbr..ingetosha tu kutoa hbr afu sura ya binti na mjomba wake zikawekwa vivuli.
 
duhh
hatari asi unajua tena watangazaji wetu awa na maproducer wao....na uyo dada akujua km atatokea?
dah mtaani noma atataniwa..ataonekana kinyago....its bad not gud ..isnt fair
 
Yaani uko kama mie nilifikiri hivyo ila nikakumbuka anaweza kuwa over 18 ambayo si mbaya ila angekuwa below ndo angekuwa amedhalilishwa.

Pili nawapongeza walezi wake kwani wamemlea kujiamini ndio maana haoni wasiwasi kujieleza. Jamani sisi wazazi wajao tujifunze kuwajengea confidence wanetu itatusaidia sana.

Otherwise huyo dokta asichukulie uwezo wake kupindisha sheria ambayo wazi inaonekana imeshaanza kupindishwa
 
duhh
hatari asi unajua tena watangazaji wetu awa na maproducer wao....na uyo dada akujua km atatokea?
dah mtaani noma atataniwa..ataonekana kinyago....its bad not gud ..isnt fair
Mimi sioni kama kutoa mimba ni big deal kwa miaka hii. Asilimia kubwa ya wanawake almost 70% walio kwenye ndoa na wasio kwenye ndoa wameshatoa mimba.
 
Ni kwmba daktari alikuwa na mahusiano na yule binti( nadhani ni kidato cha 2/3) then yule binti akaconceive daktari akamwambia waitoe mimba binti akakataa...sasa cku hyo ndo binti kaenda huko hospital Aga Khan jamaa katumia mwanya huo kumchoma sindano(nadhani ya uchungu) so binti akaondoka bt baada ya muda akafil maumivu..ksho yake kaenda hosptal nyngne kawe akajifungua kichanga hakijatimiza muda. Ndo zengwe likaanzia hapo.

QUOTE=zumbemkuu;3199369]nimecheki ile hbr sikuielewa vyema, msichana mwenyewe anataka haki ifuatwe, sasa sijui alilazimishwa kutoa mimba?[/QUOTE]
 
Kwani kuna ubaya gani kumuonyesha victim? Kila kitu mnataka kifichwe halafu mkija kukisikia mnabakia kulalama kuwa mnafichiwa habari
 
mpaka nipate maoni ya dr (muhusika) ndio tutaelewana, vinginevyo sioni kosa kumuuzisha nyago muuaji
 
Nani alimwambia atoe mimba? Kutoa mimba ni mauaji ya kiumbe kisicho na hatia, kwa kiherehere chake kapata mimba na walioonyesha uhalisia wa tukio wana kosa gani?
 
Anywa hii iwe fundisho kwa wengine
ni dk malyya wa aghakan...amekuwa akimshawishi sana ssana kumtoa huyu mwanamke mimba akawa anakataa
na alichofanya nahisi ndicho cha kumfikisha mahakamani kwa nini

1..sindano aliopigwa aijulikani kama iko salama
2.binti apimwe hiv pengine pamoja mmejua ni kwa ajili ya kutoa mimba pengine ameeweka mambo yake dk kukuondoa ni dk 1 na thumuni
3..swala la kwa nini amepata mimba hio ni la huyo binti kwa nini alimvulia chupi akijua ni mwanafunzi
na wakati anataka kuingiza akujua anatakiwa kutumia condom ama akujua asipotumia condom atazaa nzi??
Lazima hawa watoto ifike wajue matatizo kama haya ayako kwa wanaume tu na kwawanawake wajue ....
4.akiwa anampangusa shahawa yule mwanaume akumuuliza zile zilizo ingia ndani ni nini na madhara yake
5...lazima ajue wakati wa raha ajue kuna shida..hata biblia inasema kuna wakati wa raha wakati wa shida wakati wa kununa wakati wa kucheka sasa alicheka kitandania kikojolewa leo akanune vizuri

loh
 
Ni kwmba daktari alikuwa na mahusiano na yule binti( nadhani ni kidato cha 2/3) then yule binti akaconceive daktari akamwambia waitoe mimba binti akakataa...sasa cku hyo ndo binti kaenda huko hospital Aga Khan jamaa katumia mwanya huo kumchoma sindano(nadhani ya uchungu) so binti akaondoka bt baada ya muda akafil maumivu..ksho yake kaenda hosptal nyngne kawe akajifungua kichanga hakijatimiza muda. Ndo zengwe likaanzia hapo.

QUOTE]
aisee huyo dr anastahili kifungo cha mvua 30 bila kiangazi hakiyanani,
hivi vitoto vya shule sometimes ni kweli nivitamu lakini spidi ya Dr. kutaka kuua si nzuri kbsa aisee.
 
duhh
hatari asi unajua tena watangazaji wetu awa na maproducer wao....na uyo dada akujua km atatokea?
dah mtaani noma atataniwa..ataonekana kinyago....its bad not gud ..isnt fair

Kumbe mtoa mimba hatakiwi kujulikana hadharani??? hayo yanayofanywa kwa kufichwafichwa iko siku yote hayo yatawekwa wazi wazi mbele ya haki, bora upate aibu hivi sasa kuliko siku ile
 
aisee huyo dr anastahili kifungo cha mvua 30 bila kiangazi hakiyanani,
hivi vitoto vya shule sometimes ni kweli nivitamu lakini spidi ya Dr. kutaka kuua si nzuri kbsa aisee.
vitamu zaidi ya asali ndio maana naomba dk wamuulize kwa makini jamani wasikimbilie tu uamuzi
Pengine ya Dk nayo Tamu mwingine akapata bahati humu Jf Kuonja ya Dk
 
wamfikishe mahakamani fasta
alosikiza naomba asimulie kisa kizima nasi tufaidi uhondo
binti anasoma shule gani? alizalaia wapi,wazazi wake wamechukua hatua gani hadi sasa?
dr nae kaonyeshwa kwa tv?
 
mtoa hoja naungana na wewe,hata nchi za wenzetu zilizoendelea huwezi kuta victim kama huyu anaanikwa wazi,naomba kuuliza hivi hawa itv wazima kweli? ndio maana wakati mwingine nasema kuelimika ni bora hawa ni vilaza na ile familia hawajui tu yule binti itamtesa sana kwenye jamii hata kama tukio zima ni la kweli au kumchafua mtu sababu ya njaa
 
Back
Top Bottom