MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
............. wajinga ndio waliwao, nchi yako, fedha zako, unatetewe, wewe huoni unaona uhasimu wa kibiashara, Mzee Mengi, uchungu ninao ila swala sina ujasiri wako leo! tuvute tutakufuata, wajinga wapo wapuuze maana akili mgando nazo akili!
Sio kwamba sijadhamini mchango wa Mengi kututetea lakini bila ku neutralize nimeelezea upande mwingine wa shilingi wa nguvu ya Mengi ya kupambana na Manji na asipambane na mafisadi wengine kwa nguvu hiyohiyo. You should not quote me wrong sir.