ITV kuna ubaguzi kwenye utoaji habari?

Khaa!! Rweye badala ya kumlilia mungu wako akupe kitu cha maana wewe umemuomba kitu cha ajabu
You've lost your chance
 
Khaa!! Rweye badala ya kumlilia mungu wako akupe kitu cha maana wewe umemuomba kitu cha ajabu
You've lost your chance

Kwa jinsi ninavyoliheshimu sana hilo jina lako i ' ve no comment mkuu
 
sasa kama umehama kelele za nini,tulia huko uliko

Mheshimiwa unafanya Nazi ITV mini ama una share Kyle make shingo ilivyokushupaa hats nyeusi kwako inakuwa nyeupe tu potelea potea
 
Mimi ni mkurya wa tarime,nyamwighura nasema hv huu ni uzi kijinga na kipumbavu kuliko yote mwaka huu wa 2015...sijui nitawezaje kumfunika huyu jamaa kwa kutoa uzi wa kijinga kuliko yy....ngoja nimtafute shyland anisaidie

Kwà kuongra hivi itabidi pia tuache akina Nape kuwa wanaongea alafu mnawaita majina ya hovyo,Mara nyingi upinzani ukiikosoa serikali mambo ya msingi utasikia Nape anasema wale wapuuzi huku mantiki ya jambo ikiachwa,hii no sawa na were kurukia hats usiyoyafanyia utafiti ilimradi tu umepanua mdomo ..wewe, unayeorodhesha kabila lako hapa kana kwamba umeulizwa ili tukufanyie matambiko ndo una akiri nyingi,umetaja ili uende wapi???
 
Mheshimiwa unafanya Nazi ITV mini ama una share Kyle make shingo ilivyokushupaa hats nyeusi kwako inakuwa nyeupe tu potelea potea

Nakushangaa wewe unaeishaangaa kituo bora zaidi cha Tv kuliko vyote Tanzania Kwasasa,
Badala upambane na kituo chako cha taifa unalalamikia chombo cha mtu binafsi,
Sio bure hujui tofautisha baina ya binafsi na Umma.
 
Kuanzishwa kwa Azam na ufunguzi wa studio mpya itakuwa ni raha kwangu baada ya kuishia kulalama sana ITV huku wakiweka pamba masikioni, suala la kuibagua mikoa flani kwenye habari zao na kuibeba mingine kila leo halivumiliki, sielewi ni mmiliki ama ni uongozi lakini mnafanya ubaguzi wa wazi mno.

Haiwezekani habari husika mkoa Fulani haioneshwi makusudi zaidi ya Mara kadhaa wakati tayari inatokea pale chini ya kioo kwa habari ya Sikh hiyo, ni ubaguzi. Kutwa Isidingo na movie?

Angalieni wenyewe kama hamuwezi kutengeneza vipindi vya kijamii kaeni na Wafilipino wenu..



ITV is plainly bogus na wanapoteza muelekeo haraka sana. Kuwasaidia ITV warudi kama zamani inabidi wajipange upya na waje kivingine otherwise watajikuta hata matangazo ya biashara hawapati kwani watu hususan mimi na familia yangu ni nadra sana kuangalia ITV, TBC, Clouds TV kutokana na ubovu wao. Too many fake watangazaji na wannabe's.
 
Mkuu, ujinga mwingine ni kama huu wako, kuacha kujibu kwa kiswahili ukidhani kwamba ukiweka kiingereza basi utaonekana una point zaidi. Huoni kama na wewe umepoteza ufanano/msimamo wa mada? Mie nimeandika kwa kiswahili wewe unaniletea kingereza ili kiwe nini?
Go to school young man.
 
Yaani in short....ITV, TBC, na Clouds media haziwezi kazi kwa kuwa na wauza sura tu wasiojuwa nini wakifanyacho.
 
ITV is plainly bogus na wanapoteza muelekeo haraka sana. Kuwasaidia ITV warudi kama zamani inabidi wajipange upya na waje kivingine otherwise watajikuta hata matangazo ya biashara hawapati kwani watu hususan mimi na familia yangu ni nadra sana kuangalia ITV, TBC, Clouds TV kutokana na ubovu wao. Too many fake watangazaji na wannabe's.

Yaani in short....ITV, TBC, na Clouds media haziwezi kazi kwa kuwa na wauza sura tu wasiojuwa nini wakifanyacho.

Join Date : 16th April 2010
Location : Mwanza, Arusha, Dar

Join Date : 15th June 2013
Location : Dar | Arusha | Mwanza


Sawa tutaangalia Star TV Ngosha.. Wasalimie Mwanza
 
Wewe bogus kweli humsili George marato musoma john mngazija tanga eliofoo saro sasa anaprndelea wapi
 
Nakushangaa wewe unaeishaangaa kituo bora zaidi cha Tv kuliko vyote Tanzania Kwasasa,
Badala upambane na kituo chako cha taifa unalalamikia chombo cha mtu binafsi,
Sio bure hujui tofautisha baina ya binafsi na Umma.

Hatudebate mkuu in suala LA kuwa neutral tu,hoja ya hivi niliijibu juzi kwa mantiki sioni unajibu mantiki zangu hizo na kuzijibu kwa hoja badala take naona unafanya tu ushandani wa kuandika kama vile tuko kwenye debate sekondari,nasitisha hili kwako kwasababu mid sikumaanisha kurumbana zaidi nilitumia technique hii kuwaamsha wenye kituo wasilale,only that
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom