Itashangaza sana kama bado Lowassa na Sumaye wanaendelea kupokea masurufu ya Ustaafu

Mimi kinachonisikitisha ni wao kuendelea kupata MALIPO, POSHO na MASURUFU Wakati hawajawahi kufanya chochote ( Kwasababu huwa wanatuambia serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 50 ) na muda huo na wao walikuwemo walipaswa hata kufanya chochote hawakufanya sasa kuendelea kuwalipa ni WIZI na UDHULMATI
Je, unashangaa pia hivyo kwa Kikwete na Mkapa? Maana Magufuli kila siku anatuambia "nchi hii ilichezewa sana", "nchi ilikuwa imeoza", "watu walikuwa wanakufuru kwa kutumia fedha za umma".
 
Ikimbukwe kwamba wastaafu wote waliohudumu nafasi za juu za uongozi katika nchi huwa wanapokea masurufu mbali mbali ikiwemo sehemu kubwa ya mshahara, matibabu na ulinzi.

Mpaka sasa kama sitakosea watajwa katika mada hii, wanazo haki kikatiba kupokea stahiki hizo. Ingawa pamoja na haki hiyo kuwepo kimaamdishi lakini kuna hoja nyingine ya kimantiki inayokuja na kuuliza uhalale wa wao kuendelea kupokea stahiki hizo.

Sote tunafahamu kwamba, kuhama kwa Lowasa na Sumaye toka CCM na kwenda chadema ni baada ya kuona kuwa walichotendewa katika mchakato wa ugombea wa nafasi ya urais sio sahihi kwao. Hivyo kuleta picha kwamba ccm ni katili na imewatendea isivyo kuwa sahihi.

Kama ccm ni dhalimu na katili ni vipi basi wao kuendelea kupokea masarufu yote yatokanayo na serikali inayosimamiwa na chama wasichokiamini?

Je Kuendelea kupokea masarufu hayo yatokanayo na serikali wanayoipinga, sisi wananchi tuelewe nini kutoka kwao;

1. Kwamba kuhama kwao kunatokana na kukosa nafasi za uongozi pekee.

2. kwamba masarufu hayo ni muhimu zaidi kuliko misimamo yao kwa ccm?

Kwa mtu yeyote mwenye mtazamo kama wangu ataona ni haki na ni sahihi kwa wastaafu hawa kuacha kupokea masarufu yote yatokanayo na serikali ya Chama ambacho hawana imani nacho.
Tatizo lako kubwa wewe ni upunga....wewe na kaoge na James delicious mnatabia Sawa. Wote mnajisaidia haja ndogo mkiwa mmechuchumaa mnavaa na taulo za kike
 
Stroke, wewe una elimu gani ambayo haijakusaidia? Yaani pamoja na exposure yako humu bado unaamini CCM ndio wanaowalipa Mawaziri Wakuu wasataafu?

Miaka 20 tangu mfumo wa vyama vingi bado hujaondoka kwenye Chama kushika hatamu! Siamini kama bado mko watu wa namna hii nyakati hizi.

Vv
 
Nilifikiri ungeuliza kua wameshastaafu lakini bado wanaendelea kufanya saisa, Wanalipwa kama wastaafu lakini bado wanaendelea Fanya siasa, hili swali lingeweza kufanya watu waendelee kujadili lakini sio huo ujinga ulipost.
 
Kwa habari ya aliyejiuzulu sitasema sana. Lakini kwa aliyestaafu, sheria inatoa kaki ya yeye kupata 80% ya mshahara anaopokea waziri mkuu sasa hivi na gari na ulinzi! Sheria hiyo inawahusu majaji waliostaafu pia. Kwa hiyo vumilia tu maumivu yako mpaka sheria itakaposema vinginevyo.

Mkuu sio suala la kusema au kutosema, sheria inavyosema ndivyo inspaswa kufuatwa.

Vv
 
Je, unashangaa pia hivyo kwa Kikwete na Mkapa? Maana Magufuli kila siku anatuambia "nchi hii ilichezewa sana", "nchi ilikuwa imeoza", "watu walikuwa wanakufuru kwa kutumia fedha za umma".
Kwahiyo kwakuwa Mkapa na Kikwete wanaiba na wewe ni haki kuendelea kuiba - hayo mabadiliko ya kuzungusha mikono wanayohubiri yana tofauti gani ikiwa kila wanachofanya wana CCM na wao wanafanya ?
 
Ikimbukwe kwamba wastaafu wote waliohudumu nafasi za juu za uongozi katika nchi huwa wanapokea masurufu mbali mbali ikiwemo sehemu kubwa ya mshahara, matibabu na ulinzi.

Mpaka sasa kama sitakosea watajwa katika mada hii, wanazo haki kikatiba kupokea stahiki hizo. Ingawa pamoja na haki hiyo kuwepo kimaamdishi lakini kuna hoja nyingine ya kimantiki inayokuja na kuuliza uhalale wa wao kuendelea kupokea stahiki hizo.

Sote tunafahamu kwamba, kuhama kwa Lowasa na Sumaye toka CCM na kwenda chadema ni baada ya kuona kuwa walichotendewa katika mchakato wa ugombea wa nafasi ya urais sio sahihi kwao. Hivyo kuleta picha kwamba ccm ni katili na imewatendea isivyo kuwa sahihi.

Kama ccm ni dhalimu na katili ni vipi basi wao kuendelea kupokea masarufu yote yatokanayo na serikali inayosimamiwa na chama wasichokiamini?

Je Kuendelea kupokea masarufu hayo yatokanayo na serikali wanayoipinga, sisi wananchi tuelewe nini kutoka kwao;

1. Kwamba kuhama kwao kunatokana na kukosa nafasi za uongozi pekee.

2. kwamba masarufu hayo ni muhimu zaidi kuliko misimamo yao kwa ccm?

Kwa mtu yeyote mwenye mtazamo kama wangu ataona ni haki na ni sahihi kwa wastaafu hawa kuacha kupokea masarufu yote yatokanayo na serikali ya Chama ambacho hawana imani nacho.
Ungekuwa umefikiria mbali zaidi kabla ya kuleta hoja yako,kwamba hivi hawa wastaafu wanalipwa na Chama au serikali?
Na stahiki wanazopata ziko kikatiba ya Chama au nchi?
Ungepata majibu ya hayo maswali naamini usingepost maana ungekuwa umepata msaada.
 
Povu linamtoka kama hela ni za ilani ya ccm izo zipo kikatiba na kama wakibadilisha kipengere hicho watawakatia hizo hela ila tambua ccm yako aitotawala milele ivyo na wao watakuwa wahasirika hivyohivyo
 
Mimi kinachonisikitisha ni wao kuendelea kupata MALIPO, POSHO na MASURUFU Wakati hawajawahi kufanya chochote ( Kwasababu huwa wanatuambia serikali ya CCM haijafanya chochote kwa miaka 50 ) na muda huo na wao walikuwemo walipaswa hata kufanya chochote hawakufanya sasa kuendelea kuwalipa ni WIZI na UDHULMATI
Tuanze kuwanyima waliokuwa maboss wao kwanza.
 
Hakika ccm ni janga ktk nchi hii! Miaka 50+ baada ya uhuru bado unawaza mawazo ya kipuuzi namna hi?!
 
Ikimbukwe kwamba wastaafu wote waliohudumu nafasi za juu za uongozi katika nchi huwa wanapokea masurufu mbali mbali ikiwemo sehemu kubwa ya mshahara, matibabu na ulinzi.

Mpaka sasa kama sitakosea watajwa katika mada hii, wanazo haki kikatiba kupokea stahiki hizo. Ingawa pamoja na haki hiyo kuwepo kimaamdishi lakini kuna hoja nyingine ya kimantiki inayokuja na kuuliza uhalale wa wao kuendelea kupokea stahiki hizo.

Sote tunafahamu kwamba, kuhama kwa Lowasa na Sumaye toka CCM na kwenda chadema ni baada ya kuona kuwa walichotendewa katika mchakato wa ugombea wa nafasi ya urais sio sahihi kwao. Hivyo kuleta picha kwamba ccm ni katili na imewatendea isivyo kuwa sahihi.

Kama ccm ni dhalimu na katili ni vipi basi wao kuendelea kupokea masarufu yote yatokanayo na serikali inayosimamiwa na chama wasichokiamini?

Je Kuendelea kupokea masarufu hayo yatokanayo na serikali wanayoipinga, sisi wananchi tuelewe nini kutoka kwao;

1. Kwamba kuhama kwao kunatokana na kukosa nafasi za uongozi pekee.

2. kwamba masarufu hayo ni muhimu zaidi kuliko misimamo yao kwa ccm?

Kwa mtu yeyote mwenye mtazamo kama wangu ataona ni haki na ni sahihi kwa wastaafu hawa kuacha kupokea masarufu yote yatokanayo na serikali ya Chama ambacho hawana imani nacho.
umekosa ufafanuzi stahiki kuhusiana na masurufu yao .tenganisha kofia ya chama cha mapinduzi na serikali ,lazima uelewe mipaka ya chama cha mapinduzi na serikali mipaka yake katika vyama hivi . lowasa na sumaye ni wastaafu kama wengine kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma serikalini .endapo una waza kuondoka kwao waone binafsi wakupe ufafanuzi .
 
Back
Top Bottom