22nd
JF-Expert Member
- Aug 1, 2010
- 495
- 137
Ukiachana na walevi the second worse is IT Partners(according to me). they are most busy partners ever, hawatumii muda mwingi na wapenzi wao,anaweza kuwa yupo ndani 24/7 physically but not mentally. computer kwao ndio kila kitu,ukiona ameinuka kwenye desk au kiti basi ujue ana njaa, kiu, anaenda kujisaidia au anataka kuchakachua.
Usiombe akawa ni mpenzi wa football pia
naongea hivi hivi kwasababu nimeshaona marafiki ambao ni IT,nina sister wangu ambae ana mume ni IT geek.they are all complaint the same thing kwamba hawa watu hawana muda na wapenzi wao.
siongelei wale ambao wapo kwenye IT kama sehemu tu ya kujikimu kimaisha, naongelea wale ambao IT ni hobby pia(cant survive without it),akiamka kitu cha kwanza computer.
sorry for me, im about to be thereray:ray:. will be an IT professional sooooon, so far sina muda wa kuangalia TV,sina outing, losing interest with men, dont think if will be a gud wife.network ikikorofika kidogo nakuwa CRAZY!!!!!!!!!
Wakina dada, watch out!!!!!!!!!!!!!!
Ukikumbana na mume mwenye professional ya IT usiseme haujaambiwa.
NB:Inawezekana ikawa sio wote ila the most of them(majority)
Mwenye experience na other worse professional please tuambiane!!!
Usiombe akawa ni mpenzi wa football pia
naongea hivi hivi kwasababu nimeshaona marafiki ambao ni IT,nina sister wangu ambae ana mume ni IT geek.they are all complaint the same thing kwamba hawa watu hawana muda na wapenzi wao.
siongelei wale ambao wapo kwenye IT kama sehemu tu ya kujikimu kimaisha, naongelea wale ambao IT ni hobby pia(cant survive without it),akiamka kitu cha kwanza computer.
sorry for me, im about to be thereray:ray:. will be an IT professional sooooon, so far sina muda wa kuangalia TV,sina outing, losing interest with men, dont think if will be a gud wife.network ikikorofika kidogo nakuwa CRAZY!!!!!!!!!
Wakina dada, watch out!!!!!!!!!!!!!!
Ukikumbana na mume mwenye professional ya IT usiseme haujaambiwa.
NB:Inawezekana ikawa sio wote ila the most of them(majority)
Mwenye experience na other worse professional please tuambiane!!!