it is not fair.

sika

Member
Oct 5, 2009
21
0
wana JF mi nina swali naomba mawazo yenu.Hivi kwa nini sisi wanaume hatupendani na kujaliana wenyewe kwa wenyewe? hivi punde nilichomoka ofisini na kwenda bank ya NMB kwenya ATM nikakutana na bonge la foleni kama mbagala,niaamua kuingia ndani ili nisaidiwe kule ndani nikamfuata kijana mmoja wa lika langu ili anisaidie aka nitosa, nikarudi kwenye que yangu na baada ya muda akaja dada mmoja hivi masharaa akaona foleni ndefu akaamua kwenda ndani kutest zali mungu mkubwa akaenda kwa jamaa aliyenitosa mm na kusaidiwa na yuleyule mshikaji aliyenitosa mm,sasa wandungu tuasaidiane hiv kwa nini sisi wanaume hatujaliani wenyewe.
 
Hahhaaaaa,mie nilidhani ni wanawake tu,kumbe hata wanaume hawapendani.
lakini wanasema like poles repel & unlike poles attract each other
 
Hahhaaaaa,mie nilidhani ni wanawake tu,kumbe hata wanaume hawapendani.
lakini wanasema like poles repel & unlike poles attract each other

Critically looking, this will not explain! we are not poles but human Beings. Binadamu siku zote, Tunapenda kutoa ''msaada'' kwa kutarajia malipo baadae. do you agree with me?
 
HEheheeee
Hapa ninapoishi wanaume ni wambeya kuliko wanawake
ukitaka jambo lako lisambae haraka we mweleze mwanume utashangaa ukifika mtaa wa pili limefika
ndugu halo halo pole limekukuta
 
na wewe brother next time ukienda nenda kwa mwanamke ukaombe akusaidie utasaidiwa bila matatizo yoyote
pole sana + -
 
Pole mkuu, kwanza usilaumu kwmb hukusaidiwa, inawezekana jamaa aliangalia uzito wa suala lako akaona ni mdogo, mwenzio kaeleza shida nzito akasaidiwa, hata hv ni kweli like poles haziwezi kuvutana hata siku moja! pamoja na hayo si vizuri mwanaume kutegemea sana misaada, fuata taratibu timiza shida yako, ndy maana ukakuta foleni nje, waliopanga ni binadamu kama ww wana haraka pia, SIPENDI SANA WATU WANAOPENDA SHORTCUTS!!!!!!!!!!!!! I HATE THIS.....!!!! kama uliona huyo cc alikunyima haki yako....akampa mweingine, ungeenda kwa bosi wake direct ukamueleza!
 
wana JF mi nina swali naomba mawazo yenu.Hivi kwa nini sisi wanaume hatupendani na kujaliana wenyewe kwa wenyewe? hivi punde nilichomoka ofisini na kwenda bank ya NMB kwenya ATM nikakutana na bonge la foleni kama mbagala,niaamua kuingia ndani ili nisaidiwe kule ndani nikamfuata kijana mmoja wa lika langu ili anisaidie aka nitosa, nikarudi kwenye que yangu na baada ya muda akaja dada mmoja hivi masharaa akaona foleni ndefu akaamua kwenda ndani kutest zali mungu mkubwa akaenda kwa jamaa aliyenitosa mm na kusaidiwa na yuleyule mshikaji aliyenitosa mm,sasa wandungu tuasaidiane hiv kwa nini sisi wanaume hatujaliani wenyewe.
hayo ni maradhi fulani ambayo wanakuwa nayo wengi wa wanaume. wakikutana na wanawake na kulegezewa sauti basi utawakuta wanasahau majukumu yao na uadilifu wa kikazi. ulipaswa kumfuata na kumueleza kwamba alivyofanya sio vizuri.

quiet
 
wana JF mi nina swali naomba mawazo yenu.Hivi kwa nini sisi wanaume hatupendani na kujaliana wenyewe kwa wenyewe? hivi punde nilichomoka ofisini na kwenda bank ya NMB kwenya ATM nikakutana na bonge la foleni kama mbagala,niaamua kuingia ndani ili nisaidiwe kule ndani nikamfuata kijana mmoja wa lika langu ili anisaidie aka nitosa, nikarudi kwenye que yangu na baada ya muda akaja dada mmoja hivi masharaa akaona foleni ndefu akaamua kwenda ndani kutest zali mungu mkubwa akaenda kwa jamaa aliyenitosa mm na kusaidiwa na yuleyule mshikaji aliyenitosa mm,sasa wandungu tuasaidiane hiv kwa nini sisi wanaume hatujaliani wenyewe.

...aaah, utawaweza Bankers bana, wao kila kitu wamo kwenye uwekezaji waje wavune interests!
 
Critically looking, this will not explain! we are not poles but human Beings. Binadamu siku zote, Tunapenda kutoa ''msaada'' kwa kutarajia malipo baadae. do you agree with me?


nakubaliana n wewe vivian. dah nilikasilika sana hadi nikaghaili zoezi hilo.
 
Pole mkuu, kwanza usilaumu kwmb hukusaidiwa, inawezekana jamaa aliangalia uzito wa suala lako akaona ni mdogo, mwenzio kaeleza shida nzito akasaidiwa, hata hv ni kweli like poles haziwezi kuvutana hata siku moja! pamoja na hayo si vizuri mwanaume kutegemea sana misaada, fuata taratibu timiza shida yako, ndy maana ukakuta foleni nje, waliopanga ni binadamu kama ww wana haraka pia, SIPENDI SANA WATU WANAOPENDA SHORTCUTS!!!!!!!!!!!!! I HATE THIS.....!!!! kama uliona huyo cc alikunyima haki yako....akampa mweingine, ungeenda kwa bosi wake direct ukamueleza!

sawa mkuu nimekusoma,ila nilikuwa natakiwa nirudi kazini faster ndo maana nikaona nitest shortcut mzee,ila sio mbaya next time nitafuata utaratibu.
 
Back
Top Bottom