Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,285
- 11,154
Vita vya kisasa ni mbaya sana.sehemu ya kupigwa inalengwa kutoka hata kilomita 6000.Iran hawajaipiga Israel? Sasa wewe na kina Netanyahu nani mkweli?
Ebu angalia video uone jinsi waisrael walivyolala nje siku hiyo wakiogopa makombora ya Iran japo media za magharibi zilijifanya kuficha ili Israel isiaibike.
Na kumbuka huo mzigo ulizuiwa na nchi 8 zinazoaminika kuwa zina ulinzi bora wa anga, lakini walishindwa. Tuacheni propaganda na siasa katika kila jambo wakuu. Ifike kipindi maji taitwe maji, na maziwa yaitwe vile vile maziwa.
Israel mpaka Iran ni zaidi ya kilomita 1000 na bado Iran imeweza kupiga ndege na njia ya kurukia ndege.
Akitaka anaipiga mpaka nyumba ya Netanyahu.
Kwa kujua uwezo wa Iran ambao mwanzo ilikuwa ni wa kudhania,Israel imeamua kuufyata.
Hasira zake anapeleka kwa wanyonge wa kipalestina.