johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,524
- 142,799
Waziri wa Usalama mh Ben amesema Marekani haitoi ushirikiano timilifu kwa Israel kwani kwa kitendo cha kutoa Misaada ya Mafuta, Chakula na Dawa kwa Palestine Misaada hiyo inaangukia mikononi mwa Hamas
Waziri Ben amesema kama Rais wa Marekani angekuwa Trump Mahusiano yao yangeboreka
Source Al jazeera news
Waziri Ben amesema kama Rais wa Marekani angekuwa Trump Mahusiano yao yangeboreka
Source Al jazeera news