Israel: Wanafunzi Watanzania wawili hawajulikani walipo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,318
5,483
Maafisa wa Tanzania wanaendelea kuwatafuta Watanzania hao waliokuwa Kusini mwa Israel ambapo kuna vita inayoendelea kati ya Taifa hilo na wapiganaji wa Kundi la Hamas kutoka Palestina.

Balozi wa Tanzania Nchini Israel, Alex Kallua amezungumza na BBC na kueleza kuwa Wanafunzi hao wamekuwa katika mafunzo ya vitendo, wamewatafuta hadi Hospitali walikolazwa majeruhi wa vita lakini hawajafanikiwa kuwapata.

Balozi amesema “Tumewasiliana na Mamlaka pamoja na Taasisi wanayosoma hakuna aliyetoa majibu ya uhakika wala kujua walipo."

Kuna Watanzania 350 wanaoishi Israel kati yao Wanafunzi ni 260 wanaosomea masuala ya kilimo.

============

Two Tanzanian students still missing in Israel

Tanzanian officials are still looking for the two Tanzanians missing in southern Israel - the area hit by the Hamas attack over the weekend.

Tanzania’s ambassador to Israel, Alex Kallua, told the BBC the two had been doing internships there.

“Early today there were some information circulating that some Tanzanians had been injured, but we followed up with hospitals where the rescued were taken but did not find any,” he said.

“We have been communicating with the authorities and even the institution that arranged for their internship and none of them had information on where the students were.”

There are around 350 Tanzanians living in Israel including around 260 students pursuing agricultural programmes, according to the embassy.

Source: BBC
 
Maafisa wa Tanzania wanaendelea kuwatafuta Watanzania hao waliokuwa Kusini mwa Israel ambapo kuna vita inayoendelea kati ya Taifa hilo na wapiganaji wa Kundi la Hamas kutoka Palestina.

Balozi wa Tanzania Nchini Israel, Alex Kallua amezungumza na BBC na kueleza kuwa Wanafunzi hao wamekuwa katika mafunzo ya vitendo, wamewatafuta hadi Hospitali walikolazwa majeruhi wa vita lakini hawajafanikiwa kuwapata.

Balozi amesema “Tumewasiliana na Mamlaka pamoja na Taasisi wanayosoma hakuna aliyetoa majibu ya uhakika wala kujua walipo."

Kuna Watanzania 350 wanaoishi Israel kati yao Wanafunzi ni 260 wanaosomea masuala ya kilimo.

============

Two Tanzanian students still missing in Israel

Tanzanian officials are still looking for the two Tanzanians missing in southern Israel - the area hit by the Hamas attack over the weekend.

Tanzania’s ambassador to Israel, Alex Kallua, told the BBC the two had been doing internships there.

“Early today there were some information circulating that some Tanzanians had been injured, but we followed up with hospitals where the rescued were taken but did not find any,” he said.

“We have been communicating with the authorities and even the institution that arranged for their internship and none of them had information on where the students were.”

There are around 350 Tanzanians living in Israel including around 260 students pursuing agricultural programmes, according to the embassy.

Source: BBC
Mbona hawakutaja majina?!
Kama ni Ke ukute Hamas wamewaoa kwa muda kwa mtindo wa Boko Haram wa Nigeria
 
Israel na ccm wapi kuna mashamba makubwa ya kujifunza kilimo?
Kilimo cha kisasa cha teknolojia za kisasa kinapatikana Tanzania?

Israel ekari moja tu ya nyanya waweza lisha wilaya nzima
Wana nyanya zinazaa kama mwembe.mzaaajibsana shina moja

Ardhi kidogo tu.mazao kibao

Wanaenda kujifunza kilimo.cha kisasa kwa eneo dogo

Kuwa na ardhi kubwa wakati teknolojia kubwa ya kilimo huna na unakima kizamani haisaidii kitu
 
Yaani wewe kila siku unafiwa na classmates kwenye kila janga linalotokea duniani😅😅.
Pole sana mkuu. Ila inawezekana hawa hawajafa wamejificha sehemu labda.
Inaniuma sana mkuu....😪
 
Watasamehewa Palestinians ni rafiki zetu wakiongea kiswahili na takbir kidogo wataachiwa
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
 
Maafisa wa Tanzania wanaendelea kuwatafuta Watanzania hao waliokuwa Kusini mwa Israel ambapo kuna vita inayoendelea kati ya Taifa hilo na wapiganaji wa Kundi la Hamas kutoka Palestina.

Balozi wa Tanzania Nchini Israel, Alex Kallua amezungumza na BBC na kueleza kuwa Wanafunzi hao wamekuwa katika mafunzo ya vitendo, wamewatafuta hadi Hospitali walikolazwa majeruhi wa vita lakini hawajafanikiwa kuwapata.

Balozi amesema “Tumewasiliana na Mamlaka pamoja na Taasisi wanayosoma hakuna aliyetoa majibu ya uhakika wala kujua walipo."

Kuna Watanzania 350 wanaoishi Israel kati yao Wanafunzi ni 260 wanaosomea masuala ya kilimo.

============

Two Tanzanian students still missing in Israel

Tanzanian officials are still looking for the two Tanzanians missing in southern Israel - the area hit by the Hamas attack over the weekend.

Tanzania’s ambassador to Israel, Alex Kallua, told the BBC the two had been doing internships there.

“Early today there were some information circulating that some Tanzanians had been injured, but we followed up with hospitals where the rescued were taken but did not find any,” he said.

“We have been communicating with the authorities and even the institution that arranged for their internship and none of them had information on where the students were.”

There are around 350 Tanzanians living in Israel including around 260 students pursuing agricultural programmes, according to the embassy.

Source: BBC
Wakati wanatafutwa hao wawili, waliosalia warudishwe nyumbani
 
Back
Top Bottom