Israel na ukiristo

Status
Not open for further replies.
surat nisai aya 171 ( kitabu cha wanawake ). "enyi wakristo mliopewa kitabu, mtu yeyote asiwatoe katika imani yenu ya kikristo. Wala msiseme kitu kibaya kinachomhusu mungu wa mbinguni. Hakika mpakwa mafuta yesu aliyezaliwa na mariam, ni mjumbe wa mwenyezi mungu, na ni mwana wa mungu, na yeye ni roho ya mungu".

Waislam wanaposema eti yesu ni mtu wa kawaida kama wao nashangaa kabisa.





nafikiri hii iko nje ya maada , cha msingi ungelijadili hiyo maada inayojadiliwa kwanza. Iyo ya yesu ni mungu au ni mtu wa kawaida ni mjadala mwengine uo.
 
Mkuu ntuzu,jaribu kumsoma Albert pike and his worldwar 3 prophecy.
Uislamu na ukristo utaingia vitani pale dome of the rock ule msikiti ulioko jerusalem ukivunjwa.inasemakana jeshi la askari kama milioni 200 litavuka mto frat kuja kupambana jerusalem na hapo ndo mwanzo wa vita kuu kati ya waislamu na wakristo ambayo imedizaniwa ili kuzimaliza nguvu dini hizo mbili.
Watapigana mpaka kila upande utakua hoi kila kitu duniani kitakua kimeharibiwa na mabilioni kufa.baada ya hapo ndo wazee wa new world order ambao waanzilishi ndo hao waisrael wa ukoo wa rothchild watasimika a one world government na kwakua watu watakua wamechoshwa na machafuko wataipokea serikali moja kwa mikono miwili.
Kumbuka hapo idadi ya watu duniani itakua imepungua hadi atleast kufikia watu milioni 500 tu,juu katika vita silaha za maangamizi zitatumika na kuchangia kupunguza idadi ya watu.

Mkuu yaani sijakuelewa hebu dadavua vizuri,
•Wakati hayo mabilion ya watu yakiuwawa hao wazee wa NWO watakua wamejificha wapi?

•What if hao wazee wakafa kwenye hiyo vita,will it be no NWO?What will happen next?
 
SURAT NISAI AYA 171 ( Kitabu cha wanawake ). "Enyi wakristo mliopewa kitabu, mtu yeyote asiwatoe katika imani yenu ya Kikristo. Wala msiseme kitu kibaya kinachomhusu Mungu wa mbinguni. Hakika mpakwa Mafuta Yesu aliyezaliwa na Mariam, ni mjumbe wa mwenyezi Mungu, na ni mwana wa Mungu, na yeye ni roho ya Mungu".

Waislam wanaposema eti Yesu ni mtu wa kawaida kama wao nashangaa kabisa.
Acha kupotosha. unaingiza maneno unayoyataka wewe.
Huoni aibu kufoji Quran kwa ajili ya kutetea dini yako? kweli umefilisika.
Quran, Surat An Nisaa aya ya 171 inasema hivi,

Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha

Tafsiri Kwa kiingereza ipo hivi;

O People of the Scripture, do not commit excess in your religion or say about Allah except the truth. The Messiah, Jesus, the son of Mary, was but a messenger of Allah and His word which He directed to Mary and a soul [created at a command] from Him. So believe in Allah and His messengers. And do not say, "Three"; desist - it is better for you. Indeed, Allah is but one God. Exalted is He above having a son. To Him belongs whatever is in the heavens and whatever is on the earth. And sufficient is Allah as Disposer of affairs.


So acha kuizalilisha dini yako ya kikristo kwa kufoji tafsiri ya Quran.
Mkristo wa kweli hutetea dini yake kwa maandiko yaliyopo na sio kufoji.

Anyway, wadau tuendelee na mada.
 
Wakiristo wengi hawajui mahusiano ya Taifa la Israel na Ukiristo, zaidi ya kuwa ni Taifa teule la Mungu ambalo Mungu alilipigania kutoka kwa maadaui zake, kuliinua na kulipa ushindi hakuna ubishi katika hili lakini kuna zaidi ya hilo. Wakiristo wengi hawajui kuwa Israel pamoja na kuwa ndo nchi ya kwanza kuwa na wakiristo na Mitume kama akina Petro, Paul n.k. Ukiristo unaitwa Kansa ya Taifa la Israel na baadhi ya wayahudi wanaotaka Jewish State.Na kwa sababu hiyo ukiristo na dini zingine kama uislamu zimetungiwa sheria kukataza kumhubiria myahudi dini nyingine zaidi ya kiyahudi na ni kosa kisheria kumpa myahudi zawadi ya biblia au Quran (Christians Discriminated Against by Israel.).Wayahudi wenye msimamo mkali wamekuwa wakichoma moto vitabu vitakatifu vya agano jipya na kuchoma makanisa. Askari wa Isarel mara nyingi wamekuwa wakiingia madhabahuni na mbwa, na katika namna ya dharau,huku wakivuta sigara, na kuvunja madhabahu na kutupa sanamu za bikira maria nje barabarani huku wakimwita Bikira Maria kahaba kwa kisingizo cha kutafuta magaidi.Hii imepelekea hata mji aliozaliwa na kukulia Yesu kuwa na idadi kubwa ya waislamu 70% kuliko wakiristo (Nazareth - Wikipedia, the free encyclopedia), kwani mpango wao wa kuuacha uislamu ni ili siku moja wapige mabomu makanisa yote yaliyopo Nazareth na kuwasingizia waislamu (kumbuka Freemasons wanapanga Vita ya tatu ya dunia ipiganwe Middle East ikihusisha dini tatu yaani Ukiristo, Uislamu na dini ya kiyahudi (Masonic Lodge Over Jerusalem) na baadae wayahudi kuja kuvunja misikiti yote na kujenga temple moja Jerusalem (Temple of all Religions) ambapo ili kujenga umoja kwa Waisrael ndo litakuwa kanisa la watu wote kusali baada ya kuwa dini zote hizi zimepigana vita na dini ya Kiyahudi imeshinda (New World Order) kama wanataka kusali (Masonic Jews Plot to Control World—Zionist Secret Society Conducts Luciferian Rituals Deep in Cave Under City of Jerusalem)


Temple hili kwa sasa ni lipo Jerusalem underground na linatumika kusali na Jerusalem ndo itakuwa makao makuu ya New world Order. Israel huwezi kuwa waziri mkuu au Rais kama ni mkristo au Muislamu na ni lazima uwe Masonic Myahudi. Kumbuka pia kuwa White house na European Union tayari ni Masonic Authorities hivyo Waislamu na Wakiristo watashindwa hii vita kiurahisi sana.Kuna baadhi ya wakirsto pia wamekuwa wakipinga hii nyota ya kwenye bendera ya Israel (Star of David) kuwa ni alama ya shetani (Satanic Hexagram) na chanzo cha kuwekwa kwenye bendera ni familia ya Freemason ya Rothschild ambao walitoa ufadhili kwa ajili ya kuundwa kwa Taifa la Israel.Alama ya Nyota inadaiwa chanzo chake ni mfalme Solomon (Seal of Solomon) aliyeitumia wakati anajenga jumba la kipagani alikokuwa analitumia kustarehea na wake zake na kufanya matambiko (occult).Wakiristo badala yake wanataka alama ya menorah ambayo ni alama ambayo Mungu aliwapa ikiwakilisha mti uliokuwa ukiungua wakati Musa ameitwa na Mungu pale mlima Sinai.Leo hii ukitaka Myahudi akuchukie na awe adui yako mfanyie yafuatayo:

  • · Mhubirie injili kwa ajili ya kumbadili dini ya uyahudi
  • · Muda wote wa mazunguzo yako umsifie Yesu
  • · Sema kuwa wayahudi hawakuuwa na Hitiler na kisa chote ni cha kutunga
  • · Mwambie kuwa Wayahudi walimuua Kristo(wanataka useme kuwa warumi ndio waliomuua Yesu)
  • · Mwambie kuwa ataenda Jehanamu kwa sababu sio Mkiristo
Kwa hiyo ndugu zangu watanzania wakiristo wenzagu Wakiristo taifa la Israel sio Taifa linalomtukuza huyu Yesu tunayemuabudu kama ambacho tumefundishwa toka utotoni Sunday school, na vita yao mashariki ya kati sio vita dhidi ya uislamu bali ni vita ya ardhi na kuimarisha utambulisho wa Kiyahudi.Lengo lao la kudumisha mila za Kiyahudi na kuwa na taifa la kiyahudi limekuwa na madhara makubwa sana kwa ukiristo na wakiristo ambao wanafundishwa kuishi kwa upendo na amani.Lakini yote kwa Yote ndio Taifa pekee teule la Mungu.Mungu bila shaka ana makusudi yako, tafadhali soma na tafakari Ezekiel 37:8 na Yohana 15:26. Jumapili Njema,,Tubadilishane Mawazo.

View attachment 131817View attachment 131818
Bendera ya Taifa la Israel (Solomon Seal) na Alama ya kichaka kinachowaka moto(Mbele ya Musa mlima Sinai)

wewe sio Mkristo. kwa Mkristo yeyote aliyefika Israel ni kwel Wayahud hawapend kubadilishwa din. na pia nikwel kuwa wayahud wanampango wa kujenga Hekalu lao lile alilojenga Suleman kwaajil ya Mungu. na sio kwel eti kwaajil ya makafara. na pia Wakristo tumeambiwa na Yesu mwenyewe kuwa wokovu unatoka kwa Wayahudi. tena tumeambiwa tuwabariki. coz tutabarikiwa na tukiwalaan tutalaaniwa. lakin tambua pia Israel ndio nembo ya kuwepo Mungu wa kweli. hebu jiulize tuseme leo haipo Israeli ipo Palestina. ukitaka kumwelekeza asiyemjua Mungu wa kwel kuwa zaman Mungu aliongea na taifa flan linaitwa Israel ambalo lilishafutika humu dunian atakuelewa kwel. si ndio hadith kama za ile kusema ilikuwapo Eden ya Adam na Eva?
 
wewe sio Mkristo. kwa Mkristo yeyote aliyefika Israel ni kwel Wayahud hawapend kubadilishwa din. na pia nikwel kuwa wayahud wanampango wa kujenga Hekalu lao lile alilojenga Suleman kwaajil ya Mungu. na sio kwel eti kwaajil ya makafara. na pia Wakristo tumeambiwa na Yesu mwenyewe kuwa wokovu unatoka kwa Wayahudi. tena tumeambiwa tuwabariki. coz tutabarikiwa na tukiwalaan tutalaaniwa. lakin tambua pia Israel ndio nembo ya kuwepo Mungu wa kweli. hebu jiulize tuseme leo haipo Israeli ipo Palestina. ukitaka kumwelekeza asiyemjua Mungu wa kwel kuwa zaman Mungu aliongea na taifa flan linaitwa Israel ambalo lilishafutika humu dunian atakuelewa kwel. si ndio hadith kama za ile kusema ilikuwapo Eden ya Adam na Eva?
Hapo ndo nashindwa kuelewa.
Wayahudi wenyewe hawamwamini Yesu kama ni Mungu.
Wewe unasema Yesu amekwambia wokovu unatoka kwa wayahudi(wasio mwamini Yesu). na umehimizwa uwabariki wayahudi.
Hebu nifafanulie hapo.
 
Mkuu yaani sijakuelewa hebu dadavua vizuri,
•Wakati hayo mabilion ya watu yakiuwawa hao wazee wa NWO watakua wamejificha wapi?

•What if hao wazee wakafa kwenye hiyo vita,will it be no NWO?What will happen next?
kuna mabunker ambayo ni nuclear proof,halafu hawa watu wanarithishana mfano wapo akina jacob rothchild waanzilishi lakini hivi saa kuna Nathaniel rothchild huyo ni kijana tu.walikuwepo akina john rockfeller na saa kama sikosei yupo David rockfeller,nikipata mda ntakuwekea link ya hao jamaa ili ujisomee mwenyewe.
 
Mi naona Km hapa shetani anatupiga changa la macho! Waliyo nyuma ya hiyo familia ni taifa gani?
 
Mkuu yaani sijakuelewa hebu dadavua vizuri,
•Wakati hayo mabilion ya watu yakiuwawa hao wazee wa NWO watakua wamejificha wapi?

•What if hao wazee wakafa kwenye hiyo vita,will it be no NWO?What will happen next?
kuna mabunker ambayo yana amount like underground cities kama hili.yanahimili hata nuclear blast na yako well stocked.
bunker_catacombs_entrance_caves070.jpg
 
Wakiristo wengi hawajui mahusiano ya Taifa la Israel na Ukiristo, zaidi ya kuwa ni Taifa teule la Mungu ambalo Mungu alilipigania kutoka kwa maadaui zake, kuliinua na kulipa ushindi hakuna ubishi katika hili lakini kuna zaidi ya hilo. Wakiristo wengi hawajui kuwa Israel pamoja na kuwa ndo nchi ya kwanza kuwa na wakiristo na Mitume kama akina Petro, Paul n.k. Ukiristo unaitwa Kansa ya Taifa la Israel na baadhi ya wayahudi wanaotaka Jewish State.Na kwa sababu hiyo ukiristo na dini zingine kama uislamu zimetungiwa sheria kukataza kumhubiria myahudi dini nyingine zaidi ya kiyahudi na ni kosa kisheria kumpa myahudi zawadi ya biblia au Quran (Christians Discriminated Against by Israel.).Wayahudi wenye msimamo mkali wamekuwa wakichoma moto vitabu vitakatifu vya agano jipya na kuchoma makanisa. Askari wa Isarel mara nyingi wamekuwa wakiingia madhabahuni na mbwa, na katika namna ya dharau,huku wakivuta sigara, na kuvunja madhabahu na kutupa sanamu za bikira maria nje barabarani huku wakimwita Bikira Maria kahaba kwa kisingizo cha kutafuta magaidi.Hii imepelekea hata mji aliozaliwa na kukulia Yesu kuwa na idadi kubwa ya waislamu 70% kuliko wakiristo (Nazareth - Wikipedia, the free encyclopedia), kwani mpango wao wa kuuacha uislamu ni ili siku moja wapige mabomu makanisa yote yaliyopo Nazareth na kuwasingizia waislamu (kumbuka Freemasons wanapanga Vita ya tatu ya dunia ipiganwe Middle East ikihusisha dini tatu yaani Ukiristo, Uislamu na dini ya kiyahudi (Masonic Lodge Over Jerusalem) na baadae wayahudi kuja kuvunja misikiti yote na kujenga temple moja Jerusalem (Temple of all Religions) ambapo ili kujenga umoja kwa Waisrael ndo litakuwa kanisa la watu wote kusali baada ya kuwa dini zote hizi zimepigana vita na dini ya Kiyahudi imeshinda (New World Order) kama wanataka kusali (Masonic Jews Plot to Control World—Zionist Secret Society Conducts Luciferian Rituals Deep in Cave Under City of Jerusalem)


Temple hili kwa sasa ni lipo Jerusalem underground na linatumika kusali na Jerusalem ndo itakuwa makao makuu ya New world Order. Israel huwezi kuwa waziri mkuu au Rais kama ni mkristo au Muislamu na ni lazima uwe Masonic Myahudi. Kumbuka pia kuwa White house na European Union tayari ni Masonic Authorities hivyo Waislamu na Wakiristo watashindwa hii vita kiurahisi sana.Kuna baadhi ya wakirsto pia wamekuwa wakipinga hii nyota ya kwenye bendera ya Israel (Star of David) kuwa ni alama ya shetani (Satanic Hexagram) na chanzo cha kuwekwa kwenye bendera ni familia ya Freemason ya Rothschild ambao walitoa ufadhili kwa ajili ya kuundwa kwa Taifa la Israel.Alama ya Nyota inadaiwa chanzo chake ni mfalme Solomon (Seal of Solomon) aliyeitumia wakati anajenga jumba la kipagani alikokuwa analitumia kustarehea na wake zake na kufanya matambiko (occult).Wakiristo badala yake wanataka alama ya menorah ambayo ni alama ambayo Mungu aliwapa ikiwakilisha mti uliokuwa ukiungua wakati Musa ameitwa na Mungu pale mlima Sinai.Leo hii ukitaka Myahudi akuchukie na awe adui yako mfanyie yafuatayo:

  • · Mhubirie injili kwa ajili ya kumbadili dini ya uyahudi
  • · Muda wote wa mazunguzo yako umsifie Yesu
  • · Sema kuwa wayahudi hawakuuwa na Hitiler na kisa chote ni cha kutunga
  • · Mwambie kuwa Wayahudi walimuua Kristo(wanataka useme kuwa warumi ndio waliomuua Yesu)
  • · Mwambie kuwa ataenda Jehanamu kwa sababu sio Mkiristo
Kwa hiyo ndugu zangu watanzania wakiristo wenzagu Wakiristo taifa la Israel sio Taifa linalomtukuza huyu Yesu tunayemuabudu kama ambacho tumefundishwa toka utotoni Sunday school, na vita yao mashariki ya kati sio vita dhidi ya uislamu bali ni vita ya ardhi na kuimarisha utambulisho wa Kiyahudi.Lengo lao la kudumisha mila za Kiyahudi na kuwa na taifa la kiyahudi limekuwa na madhara makubwa sana kwa ukiristo na wakiristo ambao wanafundishwa kuishi kwa upendo na amani.Lakini yote kwa Yote ndio Taifa pekee teule la Mungu.Mungu bila shaka ana makusudi yako, tafadhali soma na tafakari Ezekiel 37:8 na Yohana 15:26. Jumapili Njema,,Tubadilishane Mawazo.

View attachment 131817View attachment 131818
Bendera ya Taifa la Israel (Solomon Seal) na Alama ya kichaka kinachowaka moto(Mbele ya Musa mlima Sinai)


Mleta uzi umenikumbusha kitu kimoja labda niwape.mimi binafsi nimebahatika kufanya kazi na hawa waisrael ambapo mwanzo nami nilikuwa nikifikiri kama wakristo wengine wanavyodhani kuwa ni wakristo wenzao mwenzetu mmoja mbongo si akampa zawadi ya rozali dada wa kiyahud kwanini asiikatae ndipo nikaanza kufatilia kumbe utaifa wao na dini yao ni jews na kuna wakristo na waislam pia kitu ambacho sikuamini ni kuwa kutakuwa na waislam ndani ya israel.
 
Acha kupotosha. unaingiza maneno unayoyataka wewe.
Huoni aibu kufoji Quran kwa ajili ya kutetea dini yako? kweli umefilisika.
Quran, Surat An Nisaa aya ya 171 inasema hivi,

Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha

Tafsiri Kwa kiingereza ipo hivi;

O People of the Scripture, do not commit excess in your religion or say about Allah except the truth. The Messiah, Jesus, the son of Mary, was but a messenger of Allah and His word which He directed to Mary and a soul [created at a command] from Him. So believe in Allah and His messengers. And do not say, "Three"; desist - it is better for you. Indeed, Allah is but one God. Exalted is He above having a son. To Him belongs whatever is in the heavens and whatever is on the earth. And sufficient is Allah as Disposer of affairs.


So acha kuizalilisha dini yako ya kikristo kwa kufoji tafsiri ya Quran.
Mkristo wa kweli hutetea dini yake kwa maandiko yaliyopo na sio kufoji.

Anyway, wadau tuendelee na mada.

Mbona hiyo ni moja ya kazi zao za kila siku! Kuweka tafsiri wanazozita wao.
 
Huyu ameandika mawazo ya watu kama yy wenye mawazo hasi kama yake,yaachen maandiko matakatifu yatuongoze wakristu dunian kote,wenye roho mbaya na chuk wajinyongee
 
,nikipata mda ntakuwekea link ya hao jamaa ili ujisomee mwenyewe.[/QUOTE]

Nimekupata mkuu.
 
,nikipata mda ntakuwekea link ya hao jamaa ili ujisomee mwenyewe.

Nimekupata mkuu.[/QUOTE]
hapa naweza weka link hadi nikabore watu.

We nenda..thetruthseeker.com kisha pale kwa juu click kwenye category utakuta ziko nyingi,zikiwemo rothchild,rockfeller,anti christ,9/11 etc...infor nyingi zipo hapo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom