Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
- Thread starter
- #121
taiwan is to china what za....is to ta....
Kijeshi hakuna nchi inayoikaribia Marekani. Huo ndiyo ukweli mchungu kwa baadhi ya watu!
taiwan is to china what za....is to ta....
Kijeshi hakuna nchi inayoikaribia Marekani. Huo ndiyo ukweli mchungu kwa baadhi ya watu!
Kumgusa Israel nikugusa mboni yajicho la Mungu,ajaribu m2 aone
NN who owns the federal reserve?
The people you call kirobotoYou tell me....
The people you call kiroboto
NN who owns the federal reserve?
Siichukii Israel.
Nakataa upotoshaji wa baadhi ya watu wa kuifanya Israel muweza wa yote ilihali si kweli. Hitler aliwakaanga Wayahudi kama njugu. Wangekuwa waweza wa yote wangekaangwa hivyo?
Israel inaitegemea sana Marekani lakini kuna watu wanataka watuaminishe ni Marekani ndiyo inaitegemea sana Israel.
Halafu usidhani hiyo misaada ya Marekani kwa Israel haina masharti. Marekani still calls the shots on a lot of things.
Where is the evidence?
The Federal reserve has five board members, it's Chairman and vice chairman are Zionist, (Randall Krozner and Ben Bernanke). Why do you think Ben is still in that position to this day? Go figure! They control the US with the remote control so to speak.
These guys lend money to the US Government by printing paper, fiat money (the so called $) which is not backed by gold. You probably have forgotten who is the biggest holder of us government debt.
Haya bwana ila tofautisha Israel na Jews kwasabau kuna warabu na christians ambao ni waisraeli pia.Wewe unaleta mi conspiracy theories ya zamani badala ya kuniletea ushahidi unaosema wanaomiliki Federal Reserve ni Waisrael! Jipange upya kaka.
Mbona Mmarekani anaogopa military bases za Urusi kule Syria?
Wewe endelea kujidanganya hivyo. Labda jiulize, kwa nini urafiki wa Marekani na Israel hauishi. Ninyi wenyewe mnasema Marekani hawezi kuanzisha urafiki na nchi ambayo hatafaidi kitu. Sasa ni mambo gani ambayo Marekani inafaidi kutoka Israel? Wayahudi ndiyo kichwa cha dunia hii hata ukienda Urusi na Ujerumani utakuta scientists wengi ni wayahudi. Sijui kama unajua kwamba Ansbert Einstein alikuwa ni Myahudi.Uvamizi wa Entebbe nao unauhesabu? Wacha maskhara bana.
Halafu kama hao wa Israel are all that, kwa nini wanaenda Marekani kuomba misaada ya zana za kijeshi? Si watengeneze tu za kwao...
Wewe endelea kujidanganya hivyo. Labda jiulize, kwa nini urafiki wa Marekani na Israel hauishi. Ninyi wenyewe mnasema Marekani hawezi kuanzisha urafiki na nchi ambayo hatafaidi kitu. Sasa ni mambo gani ambayo Marekani inafaidi kutoka Israel? Wayahudi ndiyo kichwa cha dunia hii hata ukienda Urusi na Ujerumani utakuta scientists wengi ni wayahudi. Sijui kama unajua kwamba Ansbert Einstein alikuwa ni Myahudi.
Ushahidi uko wapi kuwa wanaogopa?