'Islamic smart phone' launched

Watu wengine kama mabwege humu sasa hebu tuambieni kipya kwenye cmu zenu za sasa si wameongeza applcation tu na kuboresha graphics za cm.bac na wao wataboresha wanavyojua wao so subirini itoke ndio muongee blander zenu
 
Ukweli ni kwamba aliyetengeneza simu hii amechagua Uislamu kama marketing strategy yake. Lakini si kwamba haya mambo yahapatikani kwenye smartphone. Si Android wala iOS zote zina misahafu ya kila aina. Mpaka tafsiri ya Sh. Ali Muhsin A Barwani ya Kiswahili basi ipo kwenye Android.

Kuna misahafu ya kusomea, ya kufanyia research, tafsiri karibu za lugha zote duniani (tafsiri kwa maana ya tarjuma) Pia vitabu vikubwa kama vile vya hadithi (Sahihi Muslim, Bukhari Ibn Majah na kadhalika) vyote vinapatikana. Tafsiri kubwa kama vile Tafsiri Ibn Kathir, Tafsiri At Tabari nazo pia zinapatikana. Vitabu na calculator za zaka zimejaa tele, na compass za kuonyesha qibla zipo chungu nzima, apps za adhana na nyakazi za sala zipo nyingi. Unachotaka utapata kuanzia

Kwa hiyo kama nilivyosema awali huyu amechagua Uislamu kama marekting strategy yake, tunamuombea mafanikio, japokuwa hakuna jipya alilolileta
Hata kama zipo gadgets zenye hayo yote, ila kwa kuita 'Islamic smart phone' amewapata!
 
Sidhani kama unajua unachokiandika!

pengine wewe ndio unajua.sema ni kipi sijaandika kwa kukusudia?Sasa hapa tuu upo narrow minded ukifungiwa ktk hiyo android ukapewa kwa dose kiasi fulani cha propaganda sidhan km utakaa uweze think outside the box.

Uhuru wa habari kwa waislam unazidi fifishwa, ni ngumu sana kuja pata fikra mbadala.
 
tuchangieni mada hii kama mada nyingine tusichangie kwa iamni za kidini maana tutakuwa kama tumefungiwa ndani ya box.
Kwa upande wangu sidhani kama ina jipya kwa kuwa waliyotaja nilianza kuwa nayo kwenye symbian toka kitambo may be kama yameboreshwa
 
pengine wewe ndio unajua.sema ni kipi sijaandika kwa kukusudia?Sasa hapa tuu upo narrow minded ukifungiwa ktk hiyo android ukapewa kwa dose kiasi fulani cha propaganda sidhan km utakaa uweze think outside the box.

Uhuru wa habari kwa waislam unazidi fifishwa, ni ngumu sana kuja pata fikra mbadala.

Yaani ulivyofafanua ndio unazidi kudhihirisha kuwa hujui kinachozungumziwa wala hujui kiasi gani uko off point. App ya Qur'aan, app ya adhana na compass ya Qibla vinahusiana nini na uhuru wa habari?
 
An Indian company has launched an 'Islamic smart phone', featuring a full copy of the Koran, a GPS application which points to Mecca and a calculator for Zakaat charitable donations. According to the 'Islamic' mobile's creators Muslims are under-represented among the growing ranks of Indian mobile phone users, but they believe their new phone will bring them into the digital world.Source: The Telegraph.Mhhh! an interesting concept.
saaafi sana. tekinolojia inatumika katika kuelimisha na kumkumbusha mwanaadamu katika kumcha Allah Subhaanahu Wataala. Big Up sana :amen:
 
Ni safi nimeipenda hata kama app zipo, ila za humu zitakuwa ni nzuri zaidi maana scientist wanapotengeneza kitu lazima waangalie uzaifu wa mwengine.
 
Yaani ulivyofafanua ndio unazidi kudhihirisha kuwa hujui kinachozungumziwa wala hujui kiasi gani uko off point. App ya Qur'aan, app ya adhana na compass ya Qibla vinahusiana nini na uhuru wa habari?
Ushapotea sana wewe.kwanini usiwe na kila kipatikanacho halafu ukawa una chagua mwenye load apps zako zeoye huo uislam unaoutaka,kuliko kusoma islam only?wenzetu waligundua kutengeneza vitu kwa replaceable.kwanini special phones na special apps.

Kidogo mtaomba hata radio na dvd player zinazoplay islamic contents.dunia itawaacha sana mkijidai mmelewa dini sana.
 
Ushapotea sana wewe.kwanini usiwe na kila kipatikanacho halafu ukawa una chagua mwenye load apps zako zeoye huo uislam unaoutaka,kuliko kusoma islam only?wenzetu waligundua kutengeneza vitu kwa replaceable.kwanini special phones na special apps.

Kidogo mtaomba hata radio na dvd player zinazoplay islamic contents.dunia itawaacha sana mkijidai mmelewa dini sana.

hoja zako ni vichekesho
 
Back
Top Bottom