Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Sasa naanza kupata mwanga kwa mbaaaaali kwanini nchi haisongi mbele.. inabidi vipite kaa vizazi 5 ndio tutakuwa na watu wenye kuchallenge vitu based on reason..Sasa hivi nimegundua kuna matatizo zaidi ya vile nilivofikiria..So sad, ngoja nikamuone Bishop Cognac aniombee niepukane kupigizana kelele na kizazi hiki cha wanafiki.