Ishi na mwanamke kwa akili ina maana gani?

Sokoro waito

JF-Expert Member
Nov 21, 2014
2,201
2,587
Hamjambo wapendwa!

Ni kweli kabisa kwamba wanandoa huoana wakiwa na baadhi ya udhaifu ambao hutakiwa kubebeana ili waendelee kuishi katika furaha hata wazeeke wakiwa pamoja. Lakini wakati huo huo biblia inasema ''ISHI NA MWANAMKE KWA AKILI'', je msemo huu una maana gani? Je mwanamke ana akili sana hata imbidi mme wake awe makini sana na yeye au la una maana nyingine.

KARIBUNI KWA MICHANGO YENU ENYI WABARIKIWA.
 
ishi na mwanamke kwa akil kwa sababu mwanamke hana akil ,japo haikuandikwa hvo maana wangejinyonga

Wanawake tuna akili sana,sometimes tunapotezea tu.mie nilizaa na mtu,wakati akiwa hana kitu nikampenda tukaanza mahusiano akinidanganya mie ndio mkewe hadi tukapata mtoto.nilipopata ujauzito akarudiana na ex wake ambaye alimwacha kwakuwa hakua na kitu ,ila nilipokuwa naye akawa vizuri so akanigeuka.

Niliumia nikalea mimba hadi kuzaa na kuendelea kulea mwenyewe,ila nilijiapiza sitakaa nimsamehe hadi nimlize sema sikumwambia.nikawa nalo moyoni .

Mungu si athumani wiki kama tatu akanipigia simu,ana ishu yake nimsimamie kazini kwangu,kuwa kwa ajili ya mwanetu nimsaidie deal itik,nikamjibu usijali nitakusimamia.ilikuwa deal ya kama 1.5bil,nikajiambia moyoni,wakati ndio sasa.

Amini nimechangia kwa asilimia 100,kumnyima ile deal,sema sikumwambia na saivi roho yangu nyeupe full burudani.hadi leo analialia.kama ni mali kwaajili ya mwanangu ntatafuta mwenyewe kwa uweza wa manani.
 
Dah! Pole sana kijana,,,,, mpaka leo bado unaamini hayo masimulizi ya henzi?
 
Wanawake tuna akili sana,sometimes tunapotezea tu.mie nilizaa na mtu,wakati akiwa hana kitu nikampenda tukaanza mahusiano akinidanganya mie ndio mkewe hadi tukapata mtoto.nilipopata ujauzito akarudiana na ex wake ambaye alimwacha kwakuwa hakua na kitu ,ila nilipokuwa naye akawa vizuri so akanigeuka.

Niliumia nikalea mimba hadi kuzaa na kuendelea kulea mwenyewe,ila nilijiapiza sitakaa nimsamehe hadi nimlize sema sikumwambia.nikawa nalo moyoni .

Mungu si athumani wiki kama tatu akanipigia simu,ana ishu yake nimsimamie kazini kwangu,kuwa kwa ajili ya mwanetu nimsaidie deal itik,nikamjibu usijali nitakusimamia.ilikuwa deal ya kama 1.5bil,nikajiambia moyoni,wakati ndio sasa.

Amini nimechangia kwa asilimia 100,kumnyima ile deal,sema sikumwambia na saivi roho yangu nyeupe full burudani.hadi leo analialia.kama ni mali kwaajili ya mwanangu ntatafuta mwenyewe kwa uweza wa manani.
Ha ha ha sperm donor anacheza na akili ya mwanamke.... Imekula kwake
 
Wanawake tuna akili sana,sometimes tunapotezea tu.mie nilizaa na mtu,wakati akiwa hana kitu nikampenda tukaanza mahusiano akinidanganya mie ndio mkewe hadi tukapata mtoto.nilipopata ujauzito akarudiana na ex wake ambaye alimwacha kwakuwa hakua na kitu ,ila nilipokuwa naye akawa vizuri so akanigeuka.

Niliumia nikalea mimba hadi kuzaa na kuendelea kulea mwenyewe,ila nilijiapiza sitakaa nimsamehe hadi nimlize sema sikumwambia.nikawa nalo moyoni .

Mungu si athumani wiki kama tatu akanipigia simu,ana ishu yake nimsimamie kazini kwangu,kuwa kwa ajili ya mwanetu nimsaidie deal itik,nikamjibu usijali nitakusimamia.ilikuwa deal ya kama 1.5bil,nikajiambia moyoni,wakati ndio sasa.

Amini nimechangia kwa asilimia 100,kumnyima ile deal,sema sikumwambia na saivi roho yangu nyeupe full burudani.hadi leo analialia.kama ni mali kwaajili ya mwanangu ntatafuta mwenyewe kwa uweza wa manani.
Tatizo hajui sasa! Ungefanya akajua ingempa maumivu Kama ulivyoumia wewe!
 
tuwaheshimu philosophers
 

Attachments

  • 2016-01-18-21-48-55--3876134.jpeg
    2016-01-18-21-48-55--3876134.jpeg
    6.1 KB · Views: 96
haya sasa Latoya uliemnyima mchongo wake kajua

Hata akijua,there is nothing he can do
Issue zake nyingi mie ndie niliekua master minder
Alikuwa akihitaji ushauri critical lazima aniconsult
Hata hilo deal mimi ndio niliyemshauri na kuplay part kubwa sana,sema lilichelewa kutick
Limekuja kutick akarudi kuniomba nimalizie,nikajiambia it's now or never.
 
Back
Top Bottom