PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Kwakweli wanajamii najiuuliza kuhusu huyu mtu anaitwa Isaac Ndodi!
Huu umaarufu ni wanamnagani alio nao?
Au sijui ni ushamba, au labda nifikiri kuwa watu wa Arusha wana magonjwa mengi sana yaliyowashinda, maana mapokezi aliyoyapata huyu bwana toka Uwanja wa Ndege wa Arusha LEO hayajapata kutokea, nayafananisha na yale aliyofanyiwa bwana EL MARA alipojiuzulu u-PM!
Alifika na ndege ya Precision ya saa.8.40 mchana.
mIUNDOMBINO YA aRUSHA IMEVURUGIKA KABISA, NA TUMESHUHUDIA jam ZA AJABU!
mSAFARA ULIKUWA WAPATA MAGARI 50!..huh!
Huu umaarufu ni wanamnagani alio nao?
Au sijui ni ushamba, au labda nifikiri kuwa watu wa Arusha wana magonjwa mengi sana yaliyowashinda, maana mapokezi aliyoyapata huyu bwana toka Uwanja wa Ndege wa Arusha LEO hayajapata kutokea, nayafananisha na yale aliyofanyiwa bwana EL MARA alipojiuzulu u-PM!
Alifika na ndege ya Precision ya saa.8.40 mchana.
mIUNDOMBINO YA aRUSHA IMEVURUGIKA KABISA, NA TUMESHUHUDIA jam ZA AJABU!
mSAFARA ULIKUWA WAPATA MAGARI 50!..huh!