FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Heeeee
Hivi hukupata kusikia jinsi yule mganga wa jadi aliyekuwa akiitwa...sijui LIMBE naninani huko, alivyomchukua mtoto bomba NORA ,yule mwIGIZAJI wa runinga?
Mbona pia kuna rafiki yangu humu jamvini anajiita NG'WANA MADASO. ana mchumba bomba mbaya!...lol!
hahaha yaani leo klorokwini kanichekesha kila post nayopita inaniacha hoi PJ