trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Nimeshangazwa na nchi kongwe ya Misri ambayo ndiyo mwanzilishi wa Hesabu duniani na tena Algebra in particular, kuwa na idadi ya wajinga ya kiasi hicho! Hata the so called modern civilization,ilianzia kwao.. Ama idadi ya watu nayo ni chanzo cha nchi kushindwa kujiendesha vema? Source ya habari hii ni Press TV: Iran