Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 255
Watu wanne ambao ni wachimba madini, wamefariki kwa kufukiwa na kifusi cha mchanga katika eneo la machimbo ya madini ya dhahabu yaliyopo Kijiji cha Igomaa wilayani Mufindi mkoani Iringa, huku wengine watatu wakijeruhiwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi, amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kusema chanzo cha tukio hilo ni kutokana na mvua nyingi zinazoendelea kunyesha mkoani Iringa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema “Majina ya wanaodaiwa kufariki hayajapatikana kwa usahihi lakini tunafuatilia taarfa kupitia kwa Maafisa Madini kujua kama mgodi huo una leseni na wachimbaji wana kibali.
CHANZO: East Africa TV
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi, amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kusema chanzo cha tukio hilo ni kutokana na mvua nyingi zinazoendelea kunyesha mkoani Iringa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema “Majina ya wanaodaiwa kufariki hayajapatikana kwa usahihi lakini tunafuatilia taarfa kupitia kwa Maafisa Madini kujua kama mgodi huo una leseni na wachimbaji wana kibali.
CHANZO: East Africa TV