Raisi mwoga alidhani kutawala ni kidali poo kazi atapambana na chadema atashangaaa hatimizi hata ahadi moja atabaki nahamia Dodoma huku akitaka kutumia chuo cha Dodoma no planning Zaidi ya kupambana na chademaMhalifu anakamatwa popote
Raisi mwoga alidhani kutawala ni kidali poo kazi atapambana na chadema atashangaaa hatimizi hata ahadi moja atabaki nahamia Dodoma huku akitaka kutumia chuo cha Dodoma no planning Zaidi ya kupambana na chademaMhalifu anakamatwa popote
Ni kweri mkuu haya mambo ya ukuta sijuwi maandamano yana mwisho na ipo siku yatakwisha haswa ka rais huyu asijalibiwa kama yule muungwanaYana mwisho ..
Makamu M/kiti BAVICHA Patrick Sosopi akamatwa na Polisi Iringa Mjini kosa halijulikani mpaka sasa.
Amekutwa Hospitalini akiwa anatembelea wagonjwa waliolazwa, yupo Katika Ofisi ya RPC Iringa.
Taarifa zaidi kuwajia.