Kwann mkandarasi wa njia ya iringa-mbeya haweki diversions na anazuia magari kupita..hii inachelewesha sana wasafiri. Mbona njia zingine km ya segera-moshi kuna diversions?
Nashauri TANROADS waliangalie suala hili kwani baada ya kuruhusiwa mabasi yanakua yanashindana sana..
Nashauri TANROADS waliangalie suala hili kwani baada ya kuruhusiwa mabasi yanakua yanashindana sana..