Iringa: Hongera Mbunge Msigwa, nakutakia safari njema ukimpisha Balozi Mahiga

Hapo naona una bwabwaja tu maneno ndugu yangu, kumchomoa mgimwa iringa mjini mnahitaji gori la mkono, hivi hivi imekula kwenu
 
.Mkuu Mzee Tupa Tupa, japo watu watakubeza, ila huu ndio ukweli wenyewe, japo sikubaliani na wewe kuhusu haja ya kutofanya uchaguzi. Uchaguzi wa wabunge ma madiwani uendelee, uchahuguzi wa rais ndio usifanyike, kwa sababu rais Magufuli, anaendelea hivyo uchaguzi wa rais ni wastage of time, money and resources.

Na kama atakayesimamishwa na CCM Iringa ni Balozi Mahiga, then, Msigwa ataendelea, ila kama atasimamishwa Mwakalebela ndipo nitamshauri Msigwa ama, aage, ama ajisalimishe.

P.
P kwanza heshima kwako swahiba wangu. Nafurah kuona post yako toka siku ulipoteza Dom kwenye kiti moto.

Nije kwenye hoja ya msingi, binafsi nafikir uchaguzi wa muombea utaishinda ndani ya Ccm ndio usifanyike na kwa mujibu wa katiba yao nafikir hauta kuwepo.

Uchaguzi wa rais kwa ngazi ya taifa ufanyike tuu. Learn it from me haitakuwa ni upotevu wa fedha bali itatoa taswira nzima ya hali ya siasa nchini. Kwa Hali niionayo sion watu wa kushiriki kupiga kura. Na this time idadi hata ya vijana watakao jitokeza itapungua sana. Ukikaa vijiwen utajua hakuna mwenye morale ya kushiriki uchaguzi kisa nao la mkono la NApe linavyo watesa watu.

Kwasasa Niko Iringa nimekuja likizo lkn ukweli mahiga hana cha kuwafanyia wana Iringa. Na bado watu wana imani na msigwa moyoni lkn mapito wanayopitia yanafisha moyo.

Maisha ya iringa yamekuwa magumu sana, mazao hata soko kuu tuu haya uziki,biashara hazitoki labda za misasati

Mahindi yanaozea ndani, hakuna wateja, yaani zaidi ya waajiriwa hakuna mwenye uhakika wa siku.

Mzee tupatupa angetuambia hivi mabanda ya CCM ya kiti moto yanajaza kama miaka ile? Siku hizi hayo mabanda yamebak kuwa gerej za Boda Boda na Bajaj.

Hii ndiyo Tanzania ya leo na Iringa niipendayo
 
Mahiga sio mwana siasa mnamlazimisha tuu...bora abaki mbunge was kuteuliwa siasa za majukwaani hazimfai ukijumlisha na umri ulivyomwenda kuja kuumbuliwa na vijana itakuwa fedheha mbaya
 
Nipo kwa watani zangu mkoani Iringa. Nilikwenda kwanza kutembelea shamba langu la miti ya Mbao Mufindi na kuona kazi za kutayarisha Mbao za kibiashara zinavyoendelea. Leo nimeamua kuja 'kuosha macho' hapa Iringa Mjini, Jimbo linaloongozwa na Mbunge Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA. Kama ilivyo ada, nilianzia Ofisi ya CCM mkoa kuwasabahi na 'kuwaarifu' kuwa nipo Iringa.

Nimeshatembeatembea sehemu mbalimbali za Jimbo hili. Hakika, Iringa Mjini imebadilika. Inag'aa kama nyota iliyowaongoza Mamajusi. Kimaendeleo, imepiga hatua kubwa. Kimazingira,iko safi kuliko karibu makao makuu ya mikoa ambayo tayari nimeshafika. Iringa kunajengeka, kunasonga mbele. Pia, wanaIringa Mjini sasa ni majasiri wa kuongea, kuamua na kufanya. Wana uCHADEMA wa kutosha.

Iringa Mjini si ile ya kabla ya Mbunge Msigwa. Siogopi wala sisiti kumpa hongera Mbunge Mchungaji Peter Msigwa, ingawa inayotekelezwa Jimboni humu, kama yalivyo majimbo mengine, ni Ilani yetu ya CCM. Lakini, utekelezaji wa Ilani hutanguliwa na ushawishi, uongozi bora na uthubutu. WanaIringa Mjini, nawapongeza sana kwa kusonga mbele kimyakimya lakini kwa haraka.

Namwambia Mchungaji Msigwa, mwaka 2020 asijisumbue kugombea. Aendelee na mambo yake mengine. Jimbo linakwenda kwa Balozi Agustine Mahiga, Waziri wa sasa wa Mambo ya Nje. CCM tumejipanga Iringa na tumepangika. WanaCCM Iringa, kwa wingi wao, wameshamchagua Balozi Mahiga kuwa Mbunge wao kuanzia 2020-2025. Wanasubiri kipenga tu kipulizwe mwaka 2020.

Nakupongeza Mbunge Mchungaji Peter Msigwa, nakutakia safari njema katika kuelekea kwenye majukumu mengine nje ya Ubunge. Kwasasa, hapa Iringa Mjini, unatajwa kwa mema na kwa ustadi wako katika kushawishi na kushiriki. Nitakuja kukusalimu kesho. Leo nimekaribishwa kwa Rafiki yangu Mahmud Mgimwa.

Kwa Tume ya Uchaguzi hii na Sheria za Uchaguzi hizi, hakuna haja ya uchaguzi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Iringa Mjini)
Mahiga amezeeka sana, acha vijana waendelee kutupa vitu adimu
 
.Mkuu Mzee Tupa Tupa, japo watu watakubeza, ila huu ndio ukweli wenyewe, japo sikubaliani na wewe kuhusu haja ya kutofanya uchaguzi. Uchaguzi wa wabunge ma madiwani uendelee, uchahuguzi wa rais ndio usifanyike, kwa sababu rais Magufuli, anaendelea hivyo uchaguzi wa rais ni wastage of time, money and resources.

Na kama atakayesimamishwa na CCM Iringa ni Balozi Mahiga, then, Msigwa ataendelea, ila kama atasimamishwa Mwakalebela ndipo nitamshauri Msigwa ama, aage, ama ajisalimishe.

P.
Mkuu wewe umeshampasisha miaka mingine 5 sio??? sawa!!!
 
.Mkuu Mzee Tupa Tupa, japo watu watakubeza, ila huu ndio ukweli wenyewe, japo sikubaliani na wewe kuhusu haja ya kutofanya uchaguzi. Uchaguzi wa wabunge ma madiwani uendelee, uchahuguzi wa rais ndio usifanyike, kwa sababu rais Magufuli, anaendelea hivyo uchaguzi wa rais ni wastage of time, money and resources.

Na kama atakayesimamishwa na CCM Iringa ni Balozi Mahiga, then, Msigwa ataendelea, ila kama atasimamishwa Mwakalebela ndipo nitamshauri Msigwa ama, aage, ama ajisalimishe.

P.
Nimesikitika kuyasoma hayo kutoka kwako mzee wangu

Huwenda nawe unatetea kibarua chako TBC maana 60 ushagonga
 
We mzee muda mwingine unakuwaga mchawi flani hivi....anyway ukipita mabanda ya ccm wasalimie wachoma kitimoto wote
Siku hizi mabanda ya CCM yamegeuka gerej za boda Boda na Bajaj. Kitimoto nani mwenye uwezo wa kula?

Kihesa penyewe siku hizi ni balaa. Maisha magumu kiasi kwamba ukimtongoza demu tuu imekula kwako. Lazima akupige gwala akusachi hadi Senti ya mwisho.

Wenyewe wana kamsemo kao "kihesa haijawah kumuacha mtu salama bheee"

Iringa zaidi ya kula vibua na mboga za majani hakuna tena mboga, hata samaki wa mtera ni ishu bei haishikiki.

Naipenda tuu kwasabb ya barabara mpya ya lami hadi Dom. Na usafi wa mjini ingawa soko kuu Bado pachafu taka hazimwagwi kwa wakat.
 
Nimekuelewa sana mkuu na uccm wako
Kwamba tume hii ya uchaguzi na sheria zake zikiongozwa na jiwe basi hata kama upinzani ukishinda atatangazwa wa ccm tu
 
Siku hizi mabanda ya CCM yamegeuka gerej za boda Boda na Bajaj. Kitimoto nani mwenye uwezo wa kula?

Kihesa penyewe siku hizi ni balaa. Maisha magumu kiasi kwamba ukimtongoza demu tuu imekula kwako. Lazima akupige gwala akusachi hadi Senti ya mwisho.

Wenyewe wana kamsemo kao "kihesa haijawah kumuacha mtu salama bheee"

Iringa zaidi ya kula vibua na mboga za majani hakuna tena mboga, hata samaki wa mtera ni ishu bei haishikiki.

Naipenda tuu kwasabb ya barabara mpya ya lami hadi Dom. Na usafi wa mjini ingawa soko kuu Bado pachafu taka hazimwagwi kwa wakat.
Dj Edo yupo? Mindu vipi bado ipo? Longtime sana asee dooh
 
Mzee Vuta, naona huwajui watani zako kiundani! Wana Iringa wana neno moja tamu sana kulisikia lisemalo, " Mahiga alikwina" miaka yote hiyo hadi aje leo kuomba kuwaongoza? Mji ule ni mdogo sana na unaweza kuuzunguka na kuumaliza wote kwa muda mfupi nikiwa na maana kujulikana kwa mtu kwa watu wote ni rahisi hasa ukiwa una kijiwe maeneo ya mantigo, magorofani kwenye mitumba, mashinetatu na sokoni na hata stendi! Pia ccm yenyewe haieleweki vyema tangu alipoondoka
mama Mbega! Hao kina Msambichaka hamjamalizana naye bado! Kiuhalisia jimbo badi litasalia kwa Msigwa hadi akatae mwenyewe hata mkitumia zile mbinu mbadala za kinondoni na siha nina uhakika kwa iringa mtafeli vibaya sana kwani vijana wa hapo hawanaga uoga! Rejea matokeo ya Kibasa kucheleweshwa kutangazwa ni kitu gani kiliwatokea polisi na mkurugenzi kwa siku mbili za kukesha na vurugu! Karibu sana mitaa ya makorongoni na barabara mbili kwani nilipaishi hapo miaka ya ujana wangu!
 
Nimesikitika kuyasoma hayo kutoka kwako mzee wangu

Huwenda nawe unatetea kibarua chako TBC maana 60 ushagonga
Bidada Jane Msowoya, pole na usisikitike, huo ndio ukweli wenyewe.

Ni kweli natetea kibarua changu TBC, maana mimi ni muajiriwa wa TBC na ni kweli nimeisha gonga 60, hivyo sasa nasubiri tuu barua ya kustaafu.

P.
 
Nipo kwa watani zangu mkoani Iringa. Nilikwenda kwanza kutembelea shamba langu la miti ya Mbao Mufindi na kuona kazi za kutayarisha Mbao za kibiashara zinavyoendelea. Leo nimeamua kuja 'kuosha macho' hapa Iringa Mjini, Jimbo linaloongozwa na Mbunge Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA. Kama ilivyo ada, nilianzia Ofisi ya CCM mkoa kuwasabahi na 'kuwaarifu' kuwa nipo Iringa.

Nimeshatembeatembea sehemu mbalimbali za Jimbo hili. Hakika, Iringa Mjini imebadilika. Inag'aa kama nyota iliyowaongoza Mamajusi. Kimaendeleo, imepiga hatua kubwa. Kimazingira,iko safi kuliko karibu makao makuu ya mikoa ambayo tayari nimeshafika. Iringa kunajengeka, kunasonga mbele. Pia, wanaIringa Mjini sasa ni majasiri wa kuongea, kuamua na kufanya. Wana uCHADEMA wa kutosha.

Iringa Mjini si ile ya kabla ya Mbunge Msigwa. Siogopi wala sisiti kumpa hongera Mbunge Mchungaji Peter Msigwa, ingawa inayotekelezwa Jimboni humu, kama yalivyo majimbo mengine, ni Ilani yetu ya CCM. Lakini, utekelezaji wa Ilani hutanguliwa na ushawishi, uongozi bora na uthubutu. WanaIringa Mjini, nawapongeza sana kwa kusonga mbele kimyakimya lakini kwa haraka.

Namwambia Mchungaji Msigwa, mwaka 2020 asijisumbue kugombea. Aendelee na mambo yake mengine. Jimbo linakwenda kwa Balozi Agustine Mahiga, Waziri wa sasa wa Mambo ya Nje. CCM tumejipanga Iringa na tumepangika. WanaCCM Iringa, kwa wingi wao, wameshamchagua Balozi Mahiga kuwa Mbunge wao kuanzia 2020-2025. Wanasubiri kipenga tu kipulizwe mwaka 2020.

Nakupongeza Mbunge Mchungaji Peter Msigwa, nakutakia safari njema katika kuelekea kwenye majukumu mengine nje ya Ubunge. Kwasasa, hapa Iringa Mjini, unatajwa kwa mema na kwa ustadi wako katika kushawishi na kushiriki. Nitakuja kukusalimu kesho. Leo nimekaribishwa kwa Rafiki yangu Mahmud Mgimwa.

Kwa Tume ya Uchaguzi hii na Sheria za Uchaguzi hizi, hakuna haja ya uchaguzi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Iringa Mjini)
nikizifikiria kauli za jiwe na hali ilivyo naiwazia Mbeya yangu tu!! ile takataka ambayo haija "tulia" ndo wanataka ituongoze Mbeya! kweli???? daah basi tu Mungu anajua.Sugu nitamuheshimu milele,na wakituletea ile takataka inayofadhili mbio za mbuzi haki damu zitamwagika
 
Back
Top Bottom