FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,942
- 109,362
Ufumbuzi wa matatizo yote hayo ni Uislam pekee. Funguweni vichwa vyenu.Jinsi unavyoandika unaonesha ni wa kuhurumiwa tu.
Shule Ulienda kusomea ujinga
Ufumbuzi wa matatizo yote hayo ni Uislam pekee. Funguweni vichwa vyenu.Jinsi unavyoandika unaonesha ni wa kuhurumiwa tu.
Shule Ulienda kusomea ujinga
Ufumbuzi wa matatizo yote hayo ni Uislam pekee. Funguweni vichwa vyenu.
Hakuna sehemu ambayo mwafrika habaguliwi. China, India, Ulaya na pia Uarabuni. Mimi huwa nasema tunastahili kwani sisi ndiyo tunayataka hayo. Tunaanza tatizo kwa kujichukia sisi wenyewe. Ni Afrika pekee ambapo raia wake anaweza kuhamishwa kwa nguvu ili mwarabu apate sehemu ya kufanya uwindaji na ufuksa wake na wanawake au mzungu apewe sehemu ya kuchimba madini. Na mbaya zaidi fedha zinazopatikana zinatumika kwenye anasa na watawala na familia zao kama mama Abdul anavyofanya na mwanawe. Tena wazungu angalau wanapigana na tatizo la ubaguzi kwa nguvu zote siku hizi lakini mwarabu au mchina wanatuona kama takataka tu.Nilifikiri wabaguzi ni DP World na Waarabu wa Dubai.
Mwafrika mwenyewe ujuwe ndiye mbaguzi wa kwanza.Hakuna sehemu ambayo mwafrika habaguliwi. China, India, Ulaya na pia Uarabuni. Mimi huwa nasema tunastahili kwani sisi ndiyo tunayataka hayo. Tunaanza tatizo kwa kujichukia sisi wenyewe. Ni Afrika pekee ambapo raia wake anaweza kuhamishwa kwa nguvu ili mwarabu apate sehemu ya kufanya uwindaji na ufuksa wake na wanawake au mzungu apewe sehemu ya kuchimba madini. Na mbaya zaidi fedha zinazopatikana zinatumika kwenye anasa na watawala na familia zao kama mama Abdul anavyofanya na mwanawe. Tena wazungu angalau wanapigana na tatizo la ubaguzi kwa nguvu zote siku hizi lakini mwarabu au mchina wanatuona kama takataka tu.
Hili nitalikataa kwa nguvu zote. Mwafrika anapenda sana ngozi nyeupe na yuko tayari kusaliti waafrika wenzake ili amfurahishe ngozi nyeupe.Mwafrika mwenyewe ujuwe ndiye mbaguzi wa kwanza.
Kula uliwe.
Anapenda wazungu kwa sababu walimdanganya kuwa ndiyo mungu wao.Hili nitalikataa kwa nguvu zote. Mwafrika anapenda sana ngozi nyeupe na yuko tayari kusaliti waafrika wenzake ili amfurahishe ngozi nyeupe.
Bora umeliona hilo
Na hakuna dalili ya kuondokana na hili tatizo.Hakuna sehemu ambayo mwafrika habaguliwi. China, India, Ulaya na pia Uarabuni. Mimi huwa nasema tunastahili kwani sisi ndiyo tunayataka hayo. Tunaanza tatizo kwa kujichukia sisi wenyewe. Ni Afrika pekee ambapo raia wake anaweza kuhamishwa kwa nguvu ili mwarabu apate sehemu ya kufanya uwindaji na ufuksa wake na wanawake au mzungu apewe sehemu ya kuchimba madini. Na mbaya zaidi fedha zinazopatikana zinatumika kwenye anasa na watawala na familia zao kama mama Abdul anavyofanya na mwanawe. Tena wazungu angalau wanapigana na tatizo la ubaguzi kwa nguvu zote siku hizi lakini mwarabu au mchina wanatuona kama takataka tu.