ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Iran kupitia balozi wake wa Umoja wa mataifa umeitaka UN kulaani shambulizi lililofanywa na Israel kwa kushambulia ubalozi wake uliopo Syria.
Iran imesema Israel ni tishio kubwa mashariki ya kati huku ikiapa kulipa kisasi.
Hapo Jana waziri wa ulinzi wa Israel alisema Taifa hilo lipo tayari kwa jibu lolote litakalotoka kwa adui yake yoyote na kwamba hawatasita kumshughulikia popote pale alipoalipo, huku akionya kuongezeka kwa mashambulizi zaidi.
Iran imesema Israel ni tishio kubwa mashariki ya kati huku ikiapa kulipa kisasi.
Hapo Jana waziri wa ulinzi wa Israel alisema Taifa hilo lipo tayari kwa jibu lolote litakalotoka kwa adui yake yoyote na kwamba hawatasita kumshughulikia popote pale alipoalipo, huku akionya kuongezeka kwa mashambulizi zaidi.