Iran yafanya kosa kubwa kuishambulia Israel. Israel hawanaga shoo ndogo

Jordan na Saud Arabia ni watu wa maana kabisa. Nilidhani kuwa waarabu/Waislam wote ni adui wa izrael kumbe ni tofauti
Nikusaidie tu
Miaka ya 80 Iran alitaka kuishambulia Saudia na kwa sababu ni kibaraka wa wazungu
Iran ana mafuta so is Saudia lakini Iran sio kibaraka ndio maana wanamuogopa sana Iran ana uwezo na nguvu pia
Hakuna nchi ya waarabu anaeweza kusimama kivita na hao waajemi
Ila Iran hana unafiki na ni mtetezi mkubwa
Jordan wakati wa King Hussein ule mwaka wa Saddam alirusha Scud kuelekea Israel zilipita hapo hapo kwenye anga la Jordan lakini hawakuingilia kati kwa sababu ni sunni mwenzao na wana mpaka na hawakutaka mgogoro na Iraq

Jordan ni rafiki wa Iraq, Syria na Israel kwa maslahi yao maana wana mipaka na wameshuhudia vita kibao lazima wawe neutral tu
 
Kama kuna kosa kubwa wamewahi kulifanya Iran toka kuundwa taifa hilo ni hili la kuishambulia Israel. Hawa Israeli huwa hawanaga shoo ndogo ukiwachokoza uwe umejipanga vya kutosha lazima wakujibu kisawasawa, niwahakikishie tu shambulio la jana HALITAPITA BURE litajibiwa kimkakati mno.

Hatari kubwa ilionao utawala wa Iran ni vuguvugu la mapinduzi ya ndani dhidi ya sheria kali zinazowanyima uhuru na haki raia wengi hususan wanawake ambapo miaka ya karibuni kulizuka wimbi la maandamano kupinga sheria hizo na kifo cha binti Mahsa Amin aliyeuawa na polisi kwa kosa la kutokufunika kichwa. Vuguvugu hilo la ndani ni mtaji kwa Israel, wanaweza kupenya na kufanikiwa kirahisi ajenda zao.

Kitachotokea kwa Iran kama sio mashambulio ya moja kwa moja basi ni hujuma za kimkakati na mipango ya kuangushwa utawala wa Ali Khamenei itaanza.

Kwa wale msiojua, Israeli ndio mabingwa wa ujasusi duniani kuliko hata CIA. Unaambiwa mashariki ya kati wana maajenti wengine mpaka ni wanazuoni wakubwa wa kidini kwenye mataifa ya kiarabu, inasemekana hata kiongozi wa Islamic state Al Baghdad alikua jasusi wao na alibadilika baada ya kupishana maelewano baada ya misheni.
View attachment 2963885
Iran sio Hamas wala Gaza au westbank,
Iran ni kitu kingine kabisa ,hizo show za kupewa misaada ya mmarekani akapige kule Gaza Kwa akina Hamas , asithubutu kujikuna akisikia neno Iran .
Huyo bwana wake (USA) leo penyewe katia angalizo kwamba pamoja na kusaidia kutungua baadhi ya missiles na drones za Iran zilizoelekezwa Israel leo ,Hamna guarantee ya ulinzi atatoa endapo Israel atafanya attacks yoyote ya malipizi dhidi ya Iran
Fikiria mara mbili mbili hii kauli ya taifa linaloongoza Nato ina maana gani .
Israel ni mchumba sana bila msaada wa UK ,USA ,France na Germany
Hawa ndio guardian angels WA taifa la wazayuni na hata hizo drones na missiles zilizoelekezwa Israel na watu wakalishwa propaganda kwamba Israel imetungua ,si kweli
Hayo mataifa ndio yametungua hizi drones na missiles
 
Kama kuna kosa kubwa wamewahi kulifanya Iran toka kuundwa taifa hilo ni hili la kuishambulia Israel. Hawa Israeli huwa hawanaga shoo ndogo ukiwachokoza uwe umejipanga vya kutosha lazima wakujibu kisawasawa, niwahakikishie tu shambulio la jana HALITAPITA BURE litajibiwa kimkakati mno.

Hatari kubwa ilionao utawala wa Iran ni vuguvugu la mapinduzi ya ndani dhidi ya sheria kali zinazowanyima uhuru na haki raia wengi hususan wanawake ambapo miaka ya karibuni kulizuka wimbi la maandamano kupinga sheria hizo na kifo cha binti Mahsa Amin aliyeuawa na polisi kwa kosa la kutokufunika kichwa. Vuguvugu hilo la ndani ni mtaji kwa Israel, wanaweza kupenya na kufanikiwa kirahisi ajenda zao.

Kitachotokea kwa Iran kama sio mashambulio ya moja kwa moja basi ni hujuma za kimkakati na mipango ya kuangushwa utawala wa Ali Khamenei itaanza.

Kwa wale msiojua, Israeli ndio mabingwa wa ujasusi duniani kuliko hata CIA. Unaambiwa mashariki ya kati wana maajenti wengine mpaka ni wanazuoni wakubwa wa kidini kwenye mataifa ya kiarabu, inasemekana hata kiongozi wa Islamic state Al Baghdad alikua jasusi wao na alibadilika baada ya kupishana maelewano baada ya misheni.
View attachment 2963885
Kuhusu connection ya ugaidi na Israel ,hiyo ipo wazi , ni vizuri tu hata umetaja na kutambua hilo , kuna magaidi wengine viongozi wa ISIS walikamatwa Libya , na walipofinywa waligundulika ni raia wa Israel na ni mazayuni .
ISIS ilitengenezwa na mossad na CiA kama project ya kuangusha utawala wa Assad na kudestabilize middle east .
Edward Snowden na wikileaks waliexpose hili pia .
Kuna kipindi magaidi feki wa ISiS walipokuwa wanaumia huko kwenye battle field Syria walikuwa wanaletwa Israel kutibiwa na kurudishwa Syria ,imagine that .
Na ukiangalia unyama walioufanya pale Syria na Israel dhidi ya Jamii za kiislamu zile ,unapata picha ya moja kwa moja kwamba hawa si waislamu ,ni impostors ambao wako kwenye mission dhidi ya jamii za kiislamu ili kuzitekeleza ,ISIS bila kuingilia kati kwa Iran na Russia kuanza kutembeza kipondo , Syria ingekuwa ishafutika kitambo na crisis ingekuwa catastrophic pale kwenye ile nchi.
Hawa khazars aka fake Jews sio watu .
Hawa ni subhumans
CIA na Mossad ni biggest terrorists on this planet
 
Kama kuna kosa kubwa wamewahi kulifanya Iran toka kuundwa taifa hilo ni hili la kuishambulia Israel. Hawa Israeli huwa hawanaga shoo ndogo ukiwachokoza uwe umejipanga vya kutosha lazima wakujibu kisawasawa, niwahakikishie tu shambulio la jana HALITAPITA BURE litajibiwa kimkakati mno.

Hatari kubwa ilionao utawala wa Iran ni vuguvugu la mapinduzi ya ndani dhidi ya sheria kali zinazowanyima uhuru na haki raia wengi hususan wanawake ambapo miaka ya karibuni kulizuka wimbi la maandamano kupinga sheria hizo na kifo cha binti Mahsa Amin aliyeuawa na polisi kwa kosa la kutokufunika kichwa. Vuguvugu hilo la ndani ni mtaji kwa Israel, wanaweza kupenya na kufanikiwa kirahisi ajenda zao.

Kitachotokea kwa Iran kama sio mashambulio ya moja kwa moja basi ni hujuma za kimkakati na mipango ya kuangushwa utawala wa Ali Khamenei itaanza.

Kwa wale msiojua, Israeli ndio mabingwa wa ujasusi duniani kuliko hata CIA. Unaambiwa mashariki ya kati wana maajenti wengine mpaka ni wanazuoni wakubwa wa kidini kwenye mataifa ya kiarabu, inasemekana hata kiongozi wa Islamic state Al Baghdad alikua jasusi wao na alibadilika baada ya kupishana maelewano baada ya misheni.
View attachment 2963885
Mabingwa wa ujasusi walioshindwa kuwaokoa mateka kwenye kieneo kidogo kama cha gaza embu kakojoe ukalale unaongea pumba
 
Kama kuna kosa kubwa wamewahi kulifanya Iran toka kuundwa taifa hilo ni hili la kuishambulia Israel. Hawa Israeli huwa hawanaga shoo ndogo ukiwachokoza uwe umejipanga vya kutosha lazima wakujibu kisawasawa, niwahakikishie tu shambulio la jana HALITAPITA BURE litajibiwa kimkakati mno.

Hatari kubwa ilionao utawala wa Iran ni vuguvugu la mapinduzi ya ndani dhidi ya sheria kali zinazowanyima uhuru na haki raia wengi hususan wanawake ambapo miaka ya karibuni kulizuka wimbi la maandamano kupinga sheria hizo na kifo cha binti Mahsa Amin aliyeuawa na polisi kwa kosa la kutokufunika kichwa. Vuguvugu hilo la ndani ni mtaji kwa Israel, wanaweza kupenya na kufanikiwa kirahisi ajenda zao.

Kitachotokea kwa Iran kama sio mashambulio ya moja kwa moja basi ni hujuma za kimkakati na mipango ya kuangushwa utawala wa Ali Khamenei itaanza.

Kwa wale msiojua, Israeli ndio mabingwa wa ujasusi duniani kuliko hata CIA. Unaambiwa mashariki ya kati wana maajenti wengine mpaka ni wanazuoni wakubwa wa kidini kwenye mataifa ya kiarabu, inasemekana hata kiongozi wa Islamic state Al Baghdad alikua jasusi wao na alibadilika baada ya kupishana maelewano baada ya misheni.
View attachment 2963885
Unajua kama leo raisi wa israel kabadili gia angani anasema alipiga jengo jirani na ubalozi wa iran unajua maana yake? unadhani amekurupuka?
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-183330_Instagram.jpg
    Screenshot_20240414-183330_Instagram.jpg
    277.2 KB · Views: 1
Iran sio Hamas wala Gaza au westbank,
Iran ni kitu kingine kabisa ,hizo show za kupewa misaada ya mmarekani akapige kule Gaza Kwa akina Hamas , asithubutu kujikuna akisikia neno Iran .
Huyo bwana wake (USA) leo penyewe katia angakizi kwamba pamoja na kusaidia kufungua baadhi ya missiles na drones za Iran ,Hamna guarantee ya ulinzi atatoa endapo Israel atafanya attacks yoyote ya malipizi dhidi ya Iran
Fikiria mara mbili mbili hii kauli ya taifa linaloongoza Nato ina maana gani .
Israel ni mchumba sana bila msaada wa UK ,USA ,France na Germany
Hawa ndio guardian angels WA taifa la wazayuni na hata hizo stones na missiles zilizoelekezwa Israel na watu wakalishwa propaganda kwamba Israel imetungua ,si kweli
Hayo mataifa ndio yametungua hizi drones na missiles
Unapo ongea kishabiki utakuja kuamshwa ulipo lala Israel ni kicha cha mwendawazimu.
Screenshot_20240414-232747.jpg
 
Unapo ongea kishabiki utakuja kuamshwa ulipo lala Israel ni kicha cha mwendawazimu.View attachment 2963953
Umesoma na kuelewa nilichoandika au unajua kucopy na kupaste hizo takataka zako za kuokoteza huko Wikipedia ?
Una akili wewe ? .
Nimekuuliza umefikiri na kuelewa uzito wa hii kauli ya Joe Biden Leo
Kwamba " Pamoja na kuwa Marekani imetoa misaada ya kutungua drones na Missiles za Iran zilizoelekezwa Israel leo ,ila Marekani haitotoa guarantee ya ulinzi kwa Israel tena dhidi ya mashambulizi ya Iran endapo Israel itafanya mashambulizi ya kisasi dhidi ya Iran "
Soma hiyo kauli na uelewe ujumbe
Halafu rudi hapa na hizo takataka zako za kuokoteza huko
 
Umesoma na kuelewa nilichoandika au unajua kucopy na kupaste hizo takataka zako za kuokoteza huko Wikipedia ?
Una akili wewe ? .
Nimekuuliza umefikiri na kuelewa uzito wa hii kauli ya Joe Biden Leo
Kwamba " Marekani haitotoa guarantee ya ulinzi dhidi ya mashambulizi ya Iran endapo Israel itafanya mashambulizi ya kisasi dhidi ya Iran "
Soma hiyo kauli na uelewe ujumbe
Halafu rudi hapa na hizo takataka zako za kuokoteza huko
Nawewe unakulupuka bila kusoma wapi nimetoa Wikipedia, nawapi nimezungumza abari za ulinzi?
 
Umesoma na kuelewa nilichoandika au unajua kucopy na kupaste hizo takataka zako za kuokoteza huko Wikipedia ?
Una akili wewe ? .
Nimekuuliza umefikiri na kuelewa uzito wa hii kauli ya Joe Biden Leo
Kwamba " Pamoja na kuwa Marekani imetoa misaada ya kutungua drones na Missiles za Iran zilizoelekezwa Israel leo ,ila Marekani haitotoa guarantee ya ulinzi kwa Israel tena dhidi ya mashambulizi ya Iran endapo Israel itafanya mashambulizi ya kisasi dhidi ya Iran "
Soma hiyo kauli na uelewe ujumbe
Halafu rudi hapa na hizo takataka zako za kuokoteza huko
Ulipo kologa ni kusema iran ni kitu kingine
Full stop.
 
Israel kaonja joto la Iran na kafunga mdomo wewe huko kazuramimba unajidai umekua Avi Hayman msemaji wa Israel
 
Ujasusi wa Israel ni zaidi ya CIA. Si ndo hivo? Majasusi hao,wamenyofolewa pumbu na HAMAS,ambayo haina hata asilimia moja ya Iran! Wewe ndo Ali Kamenei,wewe ni Netanyahu, au ni nani?
Mambo yenu yamewashinda,mnajua kudandia yasiyowahusu na msiyoyajua. Kila mtu ameshakuwa mchambuzi,tena wa maswala ya kijeshi! Huku ndala zimepinda kama za lodge,na mnaishi kwa chapati na maharage kama mie hapa. Wameanzaje,hamjui. Kimetokea nini,hamjui. Ila kinachofata,mnakijua. Simba na Yanga vipi?
 
Hakuna jipya watafanya. Iran wanasema hawajatumia hata hypersonic moja. Ndege za nchi kama nne zimeshinda angani usiku kucha zinaangusha makombora. Walijua Iron dome isingeweza. Angeachwa yeye kama yeye jana ingekuwa ni disaster. Na iran imesema wakijibu wao watajibu mara mbili zaidi.

Kikubwa tuombe waishie hapo. Hata hivyo media zinqshirikiana kudanganua kuwa hakuna hata kombora moja lililofanikiwa ili kuitengenezea mazingira Israel uwezekano wa kukwepa kulipiZa kisasi
Kuna kambi kubwa ya kijeshi ya Israel imekuwa majivu
 
Back
Top Bottom